Ona alichonifanyia huyu dada

Ona alichonifanyia huyu dada

Sikuonga bana Elli, nilimpa iwe inamsaidia kwa maana comparison ya shida ya usafiri kwake ni kubwa kulinganisha na mimi, na ndio maana siku zote nilijua kwamba haifanyi kitu na hata sasa ipo salama salimin. Kumbuka tu ni msichana graduate, ana kazi nzuri.

Na uwezo wa kununua gari anao kwa sasa. Kinachoboa ni ile hali ya kugombana (tena si kugombana, kupiga kabisa) na hili ndo limemuuma,maana ana hadhi yake by proffession and she is very beautiful then kukumwaga. Na kumbuka nilianza kazi kabla yake, so nimemsaidia vingi. Sasa anaona, ahaa umenipiga kwenda zako uko!

What I was trying to adress ni kwamba, wasichana wazuri na wenye kazi zao kamwe si wa kuwaamini, at any time wanakuyeyusha regardless umefanya nini!
 
Last edited by a moderator:
lukatony

Ili kuepusha kesi usiende na gari muachie!


Aisee Mkuu Rrondo acha hizo, tena aenda fasta akachukue gari lake bhana, ya nini kuzinguana maisha yenyewe ndo haya??

kuna kamsemo kanasema hivi: Life is too short and nice, enjoy to the fullest!!!! achana na presha huku yeye akivinjari.

kaa chini utafakari then chukua hatua yenye kujenga especially your afya.
 
Use your senses sometimes. How comes usote kwenye madaladala huku una gari na umelihonga kwa mtu baki tu ambaye huna mkataba naye? Shule yako haijakusaidia rudi kasome tena. Hivi nikuulize, wazazi waliokuwezesha umewanunulia japo bodaboda ya kuwarahisishia shughuli zao au umeishia kuhonga tu? Laana hiyo.

Ujinga wa kuzaliwa hautoki hata uwe na degree ngapi.

Inawezekana mama yake aliyemzaa hata khanga ya kuvaa hana au kitinda mimba wa mama yake hata ada hataki kusaidia kumlipia.
 
Ujinga wa kuzaliwa hautoki hata uwe na degree ngapi.

Inawezekana mama yake aliyemzaa hata khanga ya kuvaa hana au kitinda mimba wa mama yake hata ada hataki kusaidia kumlipia.

Mkuu naona umefika mbali!Wakati mimi hapa nimefarijika nimepata comments za kutosha.We unazungumza inawezekana cjui nini na nini,wakati mi najua situation halis ya mazingira yangu!Nimetoa story hii kushare na kujifunza kupitia mkasa huu.Bare on your mind that she has done all those things because she is capable even to buy a car more than mine which worth abt 15 million.But at a time i gave it to her,she was incapable.So there is something to learn there,bi kama vile kumsomesha then aje akubwage.
 
sikiliza wewe mpotezee huyo kachukue mali yako mbona unalialia na mapenzi bwana?
Na ukienda mtafute mtu mkali kama Kubwa la maadui(Lara1) nawe uende naye ukachukue gari yako akusaidie kutia kitanzi. Unyama unyamani. Kula maisha mafupi haya, stress za nini bwana.
 
sikiliza wewe mpotezee huyo kachukue mali yako mbona unalialia na mapenzi bwana?
Na ukienda mtafute mtu mkali kama Kubwa la maadui(Lara1) nawe uende naye ukachukue gari yako akusaidie kutia kitanzi. Unyama unyamani mkula maisha mafupi haya stress za nini bwana.

Katika wote,we ndo nimekukubali,thanks bro!
 
una umri gani?

ndio maana dada kaamini kuwa huyu jamaa hafai kuwa mmuwe....kaonyesha uzembe sana kwenye maamuzi yake.

Muachie na hilo gari uendelee kudisplay high quality of your stupidity......
 
sikiliza wewe mpotezee huyo kachukue mali yako mbona unalialia na mapenzi bwana?
Na ukienda mtafute mtu mkali kama kubwa la maadui(lara1) nawe uende naye ukachukue gari yako akusaidie kutia kitanzi. Unyama unyamani mkula maisha mafupi haya stress za nini bwana.


lara 1 wa nini....anichukuwe mie tuu mfukoni awe na buku 20 kumi na tano tunakula kitimoto kilo na nusu kisha buku tano nashushia kasijana au viroba vya kutosha... Nikamhyee mpaka ajute kutumia mali za walume na kuleta dhereu....lara 1 mziki huo mdogo sana level za nursery hatakiwi kuchafua cv yake.
 
Kwa nini hukumzalisha mapema kama kweli unampenda kufa na kupona? wanawake kama hao dawa yao ni kuwazalisha faster faster hata akikuacha hamna shida....sasa bhana...siku zote nawaambia hapa...Mwanaume lazima upanue moyo wako uwe kama jalala katika mahusiano.

Si mpaka huo moyo upanuke, ni rahisi kusema kuliko kutenda.
 
uyu mazafanta kanikera......chukua mkoko.tambaa na bit..maku mbona nyingi tu as longer una gari utapata wa bahati mbaya wengii tyu kitaa...
 
Katika wote,we ndo nimekukubali,thanks bro!

Usijali mkuu hapa tuko kusaidiana wewe kachukue mali yako afu jikite kwenye kuwekeza zaidi achana na mapenz kwa sasa ukiwa unaangalia nani anafaa tena katika tasnia ya ndoa kumweka awe mke mwenye uhitaji wa ndoa kaka.
 
mkuu kachukue gari yako mapema. ukichelewa hulikuti.
 
mjinga wewe,hebu kachukue hiyo gari heri umpe mamaako mzazi aliyekuleta duniani,yeye pekee ndio mwenye mapenzi ya dhati na wewe hapa duniani. kuku wewe
 
Samahani, Excel Huyu mtoa mada ni wakiume au mwanaume....???
 
Last edited by a moderator:
Aisee Mkuu Rrondo acha hizo, tena aenda fasta akachukue gari lake bhana, ya nini kuzinguana maisha yenyewe ndo haya??

kuna kamsemo kanasema hivi: Life is too short and nice, enjoy to the fullest!!!! achana na presha huku yeye akivinjari.

kaa chini utafakari then chukua hatua yenye kujenga especially your afya.

Yaani hapa watu kinachowatoa macho ni gari tu!
 
Back
Top Bottom