Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Kumekuwepo na hofu, masuala na sintofahamu nyingi kutoka kwa watanzania juu ya kubadilika kwa mfumo wa urushaji wa matangazo ya Radio na Luninga kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali.
Tumemualika mahususi Meneja wa Uhusiano wa TCRA Bw. Innocent Mungi kufafanua utata na sintofahamu inayowakabili watanzania katika kuelekea kwenye mbadiliko haya: karibuni kwa Maswali na maoni yenu wadau.
Kipindi kitaanza Saa Moja na Nusu Asubuhi ya Leo. Si vibaya akakutana na Maswali yenu Moja kwa Moja.
Nawasilisha
Tumemualika mahususi Meneja wa Uhusiano wa TCRA Bw. Innocent Mungi kufafanua utata na sintofahamu inayowakabili watanzania katika kuelekea kwenye mbadiliko haya: karibuni kwa Maswali na maoni yenu wadau.
Kipindi kitaanza Saa Moja na Nusu Asubuhi ya Leo. Si vibaya akakutana na Maswali yenu Moja kwa Moja.
Nawasilisha