Ommy dimpoz amchana shigongo

Lakini si Global huwa wanarekodi maongezi na wana audio na video Library yao? Kama walimlisha maneno ya kumchafua, inabidi aende mahakamni walazimishwe kuleta ushaidi walio nao.
 
hajasingiziwa amesema ayo maneno, kwa wanaomjua ommy hawatabisha dogo anatatizo ambalo lipo kibaiolojia zaidi,ana homoni nyingi za kike kuliko za kiume..ndio maana ata maumbile na tabia zake ni za kisichana...amesema ayo maneno, ila uwezijua pengine akitoa singo ya nne atakufa akiwa tajiri
 
hajasingiziwa amesema ayo maneno, kwa wanaomjua ommy hawatabisha dogo anatatizo ambalo lipo kibaiolojia zaidi,ana homoni nyingi za kike kuliko za kiume..ndio maana ata maumbile na tabia zake ni za kisichana...amesema ayo maneno, ila uwezijua pengine akitoa singo ya nne atakufa akiwa tajiri

Tabia za kisichana ndo zipi?

Na homoni za kike zinamsababishia mtu kuwa na tabia gani?
 
Tabia za kisichana ndo zipi?

Na homoni za kike zinamsababishia mtu kuwa na tabia gani?

tabia za kischana ni zile tabia walizonazo waschana kutokana na jinsia yao na umri wa uschana,mojawapo ni kisirani na nyodo

na homoni nyingi za kike zinamsababisha mtu kuact kama mwanamke

were you sleeping in biology class?? pole..
 
tabia za kischana ni zile tabia walizonazo waschana kutokana na jinsia yao na umri wa uschana,mojawapo ni kisirani na nyodo

Kwanza hapo umetaja mbili sio "moja wapo"

Pili, hakuna ushahidi wa kisayansi unaothibitisha hilo. Ni mfumodume uliokutawala

na homoni nyingi za kike zinamsababisha mtu kuact kama mwanamke ..
Mwanamke ana act vipi?
 
Kwanza hapo umetaja mbili sio "moja wapo"

Pili, hakuna ushahidi wa kisayansi unaothibitisha hilo. Ni mfumodume uliokutawala


Mwanamke ana act vipi?

1. sijataja mbili ila upeo wako ndio umeona mbili..hicho ni kitu kimoja kilichogawanyika
2. hapa sijatumia mfumo dume nimeongelea kibaiolojia ,huo mfumo dume unaouona hapa ni athari ulizonazo kutokana na mikasa uliyokumbana nayo inakutafuna. usipobadilika kila kitu utaona ni mfumo dume,,
3.Upo ushaidi wa kisayansi kwa nilichosema usiwe mbishi
4 . tabia za kike ni zile alizonazo mwanamke wakati mwanaume hana
 
Msitake kumjaji shigongo direct, hebu fuatilien kaul za ommy ndo mtagundua dogo kaanza kulewa ustar
 
1. sijataja mbili ila upeo wako ndio umeona mbili..hicho ni kitu kimoja kilichogawanyika
2. hapa sijatumia mfumo dume nimeongelea kibaiolojia ,huo mfumo dume unaouona hapa ni athari ulizonazo kutokana na mikasa uliyokumbana nayo inakutafuna. usipobadilika kila kitu utaona ni mfumo dume,,
3.Upo ushaidi wa kisayansi kwa nilichosema usiwe mbishi
4 . tabia za kike ni zile alizonazo mwanamke wakati mwanaume hana

Lete ushahidi wa kisayansi unaoonyesha tabia za wasichana

Pia lete ushahidi unaonyesha tofauti ya kitabia kati ya mwanamme na mwanamke

Ahsante
 
Hawa wasanii wamekosa "communication skills" wanapayuka tu.


Johari window!!
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1371317578352.jpg
    uploadfromtaptalk1371317578352.jpg
    20 KB · Views: 213
Wanajuana haoooo,sijawah sikia wala ona mtu aloandikwa na shigongo akienda mahakaman,,,,,

Kitoto kama hicho ki Omi Dimpoz kinaweza kusimama na kesi dhidi ya shigongo hata kwa wiki sita? Shigongo ana uwezo wa ku hire wakili yeyote amtakaye...hako ka Omi labda kaende TAWLA
 
Back
Top Bottom