hajasingiziwa amesema ayo maneno, kwa wanaomjua ommy hawatabisha dogo anatatizo ambalo lipo kibaiolojia zaidi,ana homoni nyingi za kike kuliko za kiume..ndio maana ata maumbile na tabia zake ni za kisichana...amesema ayo maneno, ila uwezijua pengine akitoa singo ya nne atakufa akiwa tajiri
Heheh sasa kamchana kwa kutumia nini?
Huyo Ommy ni nani? Muigizaji wa filamu au Mwanamuziki?
Tabia za kisichana ndo zipi?
Na homoni za kike zinamsababishia mtu kuwa na tabia gani?
tabia za kischana ni zile tabia walizonazo waschana kutokana na jinsia yao na umri wa uschana,mojawapo ni kisirani na nyodo
Mwanamke ana act vipi?na homoni nyingi za kike zinamsababisha mtu kuact kama mwanamke ..
Kwanza hapo umetaja mbili sio "moja wapo"
Pili, hakuna ushahidi wa kisayansi unaothibitisha hilo. Ni mfumodume uliokutawala
Mwanamke ana act vipi?
Hakusema hivyo , wamemlisha maneno kama Mbowe.
1. sijataja mbili ila upeo wako ndio umeona mbili..hicho ni kitu kimoja kilichogawanyika
2. hapa sijatumia mfumo dume nimeongelea kibaiolojia ,huo mfumo dume unaouona hapa ni athari ulizonazo kutokana na mikasa uliyokumbana nayo inakutafuna. usipobadilika kila kitu utaona ni mfumo dume,,
3.Upo ushaidi wa kisayansi kwa nilichosema usiwe mbishi
4 . tabia za kike ni zile alizonazo mwanamke wakati mwanaume hana
Inamaana hakuzungumza hiyo kauli au?
tatizo wasanii wetu wasipoandikwa utasikia wamelogwa.
Wanajuana haoooo,sijawah sikia wala ona mtu aloandikwa na shigongo akienda mahakaman,,,,,