Omg

Wanalilia nafsi zao jamani, ajira zao kwishnei!lol
 
Hawa kinachowalizani aibu ya ukweli kudhihirika! Ushindi ni wa CDM na MwanaHalisi!
 
kazimia?????? my god ila inawezekana pia
alizimia kwa furaha .manake hilo
gamba lilimsababishia awashe
kibatali mpaka umri huo sasa
amepata raha akajua umeme
huooo lool kaz kwelekweli
na kama kazimia ajili ya huyu
gamba hahahaha
namsikitikia saaaaaaaaaaaaaaaaana
 



INAELEKEA WANALIA WALIJUWA AMEKWENDA KUTANGAZA MAJIBU YA AFYA YAKE.......
 
Hii ni aibu ya kwao na familia zao..hawana haya watu wazima hawa..
 
nafkri watoto wao wanalia zaidi kuona mama zao kumlilia RA, kuna uwezakano mkubwa jamaa alikuwa anatoa hadi matumizi ya nyumbani kwao, hii si kawaida!
 
hao kina mama wanaficha sura kwa sbb wanajua wanachokifanya.
hao wote ni wa nzega na tunawafahamu walikodishiwa noah zikawapeleka igunga wakaalipwa chao wakalia na sasa wamesharudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…