Inawezekana maana polisi mwaka Jana/juzi walilipwa malimbikizo yao yoteZote za wizara ya mambo ya ndani, una swali lingine?
Inawezekana maana polisi mwaka Jana/juzi walilipwa malimbikizo yao yoteZote za wizara ya mambo ya ndani, una swali lingine?
Kwa maana hiyo, hii mada haina maana sio kwa sababu wewe hukula jana basi useme watu wa Kigoma tunalala njaa!Inawezekana maana polisi mwaka Jana/juzi walilipwa malimbikizo yao yote
Nyinyi kupanda vyeo hadi muende koziKwa maana hiyo, hii mada haina maana sio kwa sababu wewe hukula jana basi useme watu wa Kigoma tunalala njaa!
Sema mimi au sema mtaani kwetu maana wengine wamekula wakashiba na wakamwaga!
Kama wewe ni mwalimu inamaana mwanafunzi uliyemfundisha form 5 mwaka 2014 ndio anaajiriwa sasa na kulipwa mshahara sawa na wewe.Tayari kuna ajira kadhaa zimetolewa kwa wafanyakazi wapya mwaka 2020
Hawa wataenda kuwa na mishahara sawa na Wale walioajiriwa mwaka 2014, Yaani miaka 6 iliyopita.
Wafanyakazi hawa wamevumilia mengi. Uhakiki n.k, Mpaka leo bado wamebakia na mishahara Ile Ile ya mwaka 2015,
Wakati mwingine tunajitafutia laana bila sababu za msingi.
Hebu tuwakumbuke hawa wafanyakazi jamani!
Miaka sita mshahara ule ule?
Hili Sio Jambo la kucheka hata kidogoKama wewe ni mwalimu inamaana mwanafunzi uliyemfundisha form 5 mwaka 2014 ndio anaajiriwa sasa na kulipwa mshahara sawa na wewe.
Hahahaa!
Tayari kuna ajira kadhaa zimetolewa kwa wafanyakazi wapya mwaka 2020
Hawa wataenda kuwa na mishahara sawa na Wale walioajiriwa mwaka 2014, Yaani miaka 6 iliyopita.
Wafanyakazi hawa wamevumilia mengi. Uhakiki n.k, Mpaka leo bado wamebakia na mishahara Ile Ile ya mwaka 2015,
Wakati mwingine tunajitafutia laana bila sababu za msingi.
Hebu tuwakumbuke hawa wafanyakazi jamani!
Miaka sita mshahara ule ule?
Wewe unalilia kupanda daraja wakati graduates wapo mtaani wanalilia kupata walau 15,000/= kwa sikuTayari kuna ajira kadhaa zimetolewa kwa wafanyakazi wapya mwaka 2020
Hawa wataenda kuwa na mishahara sawa na Wale walioajiriwa mwaka 2014, Yaani miaka 6 iliyopita.
Wafanyakazi hawa wamevumilia mengi. Uhakiki n.k, Mpaka leo bado wamebakia na mishahara Ile Ile ya mwaka 2015,
Wakati mwingine tunajitafutia laana bila sababu za msingi.
Hebu tuwakumbuke hawa wafanyakazi jamani!
Miaka sita mshahara ule ule?
Mwisho wa siku, ni vizuri mtu kuzungumzia mambo ambayo una ufahamu nayo. Mbobevu wa kuuza madawa ya binadamu ajikite huko, fani zingine hali kadhalika.Kama Nusrat angetolewa kwa style aliyotolewa lakin akawa hayupo kwny orodha ya Wabunge, povu lingewatoka kama linavyowatoka?
Hili hawalioni, maana ukibana maslahi ya watumishi unapunguza uwezo wao wa kufanya matumizi, either kununua au kuwekeza hivyo unakuwa umeathiri kundi kubwa ambalo linategemea mzunguko wa pesa za watumishi, ndo maana kelele ni nyingi mitaani.Anaye umia si mtumishi ni mwananchi wa chini