Mabeberu wemeshachukua nchi mkuu, tulie tu.Ila tulishaonya,hasa ukizingatia background ya huyu mama na mume wake. Hawa wote wamefanya kazi muda wao wote kwenye NGOs za mabeberu, na NGOs zipo kwa ajili ya kuendeleza agenda za mabeberu!Sasa unategemea nini. It's like expecting to get ice from fire.