Ombi: Mnaotaka kuomba misaada kutoka kwa wanajamiiForums pitieni kwanza kwa Moderator's

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Nov 10, 2016
3,967
12,951
Wakuu wasalaam,

Kutokana na wingi wa utapeli uliojitokeza mitandaoni wa watu wanao omba misaada ya kifedha na hivyo wengi kuwa na wasiwasi wa kutapeliwa natoa ombi kwa wale wanaotaka kuomba misaada kutoka kwa WanaJamiiForums ni vyema wapite kwanza kwa JamiiForums mwenyewe ili ahakiki kama kweli muombaji anahitaji la msaada au ni tapeli tu.

JamiiForums ndio wawasiliane na sisi au muombaji aandike ombi lake na moderator's watoe neno kwenye hilo ombi. Hii itaondoa ushaka na ukakasi pindi watu wajapo humu kuomba misaada, maana hata huku mitaani unapotaka kuomba msaada ni lazima uwe na barua ya Serikali.

Ni maoni tu.

CC JamiiForums & Moderator
 
Wakuu wasalaam,

Kutokana na wingi wa utapeli uliojitokeza mitandaoni wa watu wanao omba misaada ya kifedha na hivyo wengi kuwa na wasiwasi wa kutapeliwa natoa ombi kwa wale wanaotaka kuomba misaada kutoka kwa WanaJamiiForums ni vyema wapite kwanza kwa JamiiForums mwenyewe ili ahakiki kama kweli muombaji anahitaji la msaada au ni tapeli tu.

JamiiForums ndio wawasiliane na sisi au muombaji aandike ombi lake na moderator's watoe neno kwenye hilo ombi. Hii itaondoa ushaka na ukakasi pindi watu wajapo humu kuomba misaada, maana hata huku mitaani unapotaka kuomba msaada ni lazima uwe na barua ya Serikali.

Ni maoni tu.

CC JamiiForums & Moderator
Nakubaliana na mtazamo wako.
 
Naomba utuelimishe je,moderator anaouwezo wa kuthibitisha vipi tapeli na asiye Tapeli,umetolea mfano mtaani wanakuja na barua na huku itakuwaje
 
Naomba utuelimishe je,moderator anaouwezo wa kuthibitisha vipi tapeli na asiye Tapeli,umetolea mfano mtaani wanakuja na barua na huku itakuwaje
kama mods hawawezi kujua, ambao ndio viongozi wetu katika matumizi ya mtandao huu, cc watumiaji tutajuaje sasa?
 
[quote uid=406087 name="chimwemwe msumba" post=19139311]Mwanafunzi anaitwa Hilda Francis akaunti ni ya shule ila ndo jina la mwenyewe shule ndo utaratibu wao hata kwenye fomu wameandika hivyo,[/QUOTE]<br />Fanya yafuatayo kama kweli unataka msaada na uko serious.<br />1.Attach joining instruction ya shule ambayo inaonyesha akaunti namba na jina la akaunti ya kutuma ada (ili tujiridhishe kuhusu jina la akaunti ya shulr kuwa na jina la mtu binafsi)<br />2.Tupe namba ya mkuu wa hiyo shule ambae tunawea kumpigia na yeye akadhibitisha kuwa na mwanafunz huyo hapo shuleni.<br />3.Weka jina kamili la huyo mtoto wako, pamoja na namba yake ya mtihani ya kidato cha pili.<br />4.Attach pia kitambulisho cha shule cha huyo mtoto.<br />5.Toa maelezo ya mahali shule ilipo (mkoa, wilaya na kata if possible).<br />6.Barua ya utambulisho kutoja serikali ya kijiji/mtaa unapoishi wewe na mtoto wako, ikiwa na picha yako.<br />Ukiweka vitu vyote hivyo hapo mimi nitakusaidia, kwa kila kitu juu ya elimu ya huyo mtoto, na hautakuwa mkopo, bali msaada tuu.<br />Ahsante.<br />chimwemwe msumba
 
Kwel mkuu umeongea point maana sio wote wanaotoa msaada wana uwezo wa kifedha wengine waguswa sasa wengine wanatumia udhaifu huo kuwaharibia wenzao ambaoo wangeweza kupata msaada! nashaur kama mdau kuwepo na vielelezo kama burua,vitambulisho;admision letter hali kadhalika malipo yote yapitie benk kwenye acc ya chuo na iwe verified! @
 
Back
Top Bottom