Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
Hii si sawa hata kidogo.Nyakati zinabadilikaga.....Hatujazoea kumwona Mkuu wa Kaya akikaa silence hivi. Huyu jamaa atakuwa alimuharibia siku asee tungemwona na mama yetu wakisali Kanisa fulani. Na akitoa salam za sikukuu .
Naona inapita kimyaaaaa
Kwani mimi ndiyo niRiomba mwaka erfu mbiri na kumi na nane ufike iri niwahutubie?Tunakuomba Rais walau utoe hata salam za mwaka mpya.
Toa salam za matumaini Baba...eeee...!!
Wewe pekee ndio mfariji wa wanyonge. Itasikitisha sana tuamke kesho bila neno lako la kututia moyo WATANZANIA...tunaendaje 2018 na tutarajie nini.!?
Tungependa kusikia toka kwako ni nini unajivunia umefanya mwaka huu na ni nini umetupangia kufanya mwakani.
Kwenda kulala usiku huu kwa Salamu za Mh. Mbowe za maumivu na masikitiko ni kumaliza mwaka kinyonge.
Basi nafikiri utafanya hivyo.
AHSANTE.
ahaaha nimejikuta nalipuka kicheko !@hahahahahahhahaaaaaaaaaIdara ya mawasiliano Ikulu itatoa yeye frustrations zake zimezidi mno leo hii hata kwenda kanisani leo hii ilibidi wamsukumize.
Eeeh mungu baba wa mbinguni, muumba wa mbingu na ardhi na vitu vyote hapa duniani na ulimwenguni naomba umfunge huyu mtu mdomo asiongee lolote tupate kuvuka na kuingia salama mwaka mpya 2018.
Hii si sawa hata kidogo.
Hahhhaahaa...Eeeh mungu baba wa mbinguni, muumba wa mbingu na ardhi na vitu vyote hapa duniani na ulimwenguni naomba umfunge huyu mtu mdomo asiongee lolote tupate kuvuka na kuingia salama mwaka mpya 2018.
Akifungua domo lake tu ni mpayuko wa ajabu mpaka mtu unakwenda kujificha chini ya uvungu wa kitanda na macho unafunga lkn waapiHahhhaahaa...
Dah.. Kweli watu mna 'frastreshenz'..
Umelewa??Wewe pekee ndio mfariji wa wanyonge.