Tafadhali kama kuna mtu anayefahamu namba za simu za bodi ya mkopo zinazopatikana maana natumia zlizopo kwenye internet hazipatikani na muda wa kujaza form za kuappeal unaisha .
Hata ucjsumbue kupoteza muda wako kwa kuappeal mkuu,huwezi fanikiwa..tumeona mifano kwa watu wetu wa karibu,pamoja na kuambatanisha nyaraka zote lakini majibu yalikua ''appeal rejected"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.