Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,798
- 28,461
Kuna ukweliHapafu Lowassa usemeje,Tanzania nzima MTU anayeongozwa kwa kupendwa na watu ukimtoa Nyerere ni Lowassa hata Kikwete analijiua hilo,wa 3 ndio Kikwete.
Umasikini ndio unakusumbua. Find a job kijana, Kikwete hawezi kuonana na taaaaahira kama wewe.Kwa hiki ulichokiandika hapa unafikiri nani ni taahira kati ya mm na ww??
Mkuu nafikiri watu wanaoniponda humu kwa hili Ombi langu nililolileta hapa wana mtazamo na maoni kama yako,kuwa lengo langu ni "kujiliza Liza" kama ulivyoandika hapo,nikuthibitishie tu kuwa siko kama mnavyodhani..its just an appreciations only..Miaka 35 ni miaka ya kujichimbia porini huko ukiandaa mazingira ya kuianza 40.
Kama miaka 35 bado una ndoto za kuonana na wanasiasa ukajilize jilize kwao aisee kuna shida mahali.
Lakini mkuu sikukatishi tamaa maana binadamu hatufanani,nenda pale udsm ana ofisi yake ukiweka appointment utaambiwa lini anakuepo umuone.
Ni MTU wa watu huyu Mzee hana Maneno na MTU,tunaojua umuhimu wake ktk hii nchi tunamuombea kwa Mungu azidi kumpa Maisha marefu kama ya Mzee Mwinyi mana hekima na busara zake bado tunazihitaji kama Nchi.Hiki kitu mimi pia nilikitamani sana siku nyingi hata kabla hajastaafu lakini hadi leo sijafanikiwa kuonana naye. Naamini ipo siku lazima tu nitakutana naye mahali fulani halafu tutaongea. Kwanza huyu mtu ni mjukuu wangu na kama angekuwemo humu jukwaani, alitakiwa aniitume vocha ya simu hapa nilipo muda huu!
Mwanakulitafuta mwanakulipatašAcha ufala wewe.
Mkuu nakuelewa sana si kila CV inaweza kukupatia unachokitaka pasipokuwa na connection, kuna baadhi ya kazi Nature yake inagoma kuLink na baadhi ya watu pasipokuwa na MTU wa kukushika mkono sidhani kama unanielewa lakini..Mkuu sio kula MTU unamuona eti kwa kuwa una mapenzi naye,tengeneza CV yako be somebody utapata urahisi wa kumuona.sio lazima use kwenye siasa angalia mfano akina Mpoki walikwenda Msoga kumcheki na kupiga story naye 2 tatu.
Akina Mpoki walipata fursa hiyo sio kutokana na majina yao bali kazi zao.
Nenda chalinze.Wakuu kichwa cha habari hapo juu chahusika.Mm ni Kijana Mzalendo wa kiTanzania mwenye umri wa miaka 35 sasa ninae vutiwa na Rais wetu Mstaafu wa awamu ya NNE Jakaya Mrisho Kikwete.
Nina Mapenzi makubwa na Rais huyu tangu nipate akili ya kujua siasa za Nchi hii mnamo mwaka 2002 na tangu nianze kupiga kura kwa Mara ya kwanza mwaka 2005.
Dhumuni LA kuonana nae ni kutaka kumueleza ni namna gani namkubali na kumuelewa,yeye ni "Rolu modo" wangu japo sina matumaini ya kuja kuwa kiongozi ktk Nchi yangu.
Moja ya Ndoto zangu ni kuonana na Kiongozi huyu ana kwa ana ikiwezekana na kupata japo picha.
Mm sio MTU wa Connection or mwenye hadhi ninaeweza kuja kukutana na kiongozi huyu hata kwa bahati mbaya,najua hapa wanapita watu mbalimbali naomba mwenye uwezo wa kunisaidia hili anisaidie.
Wasalaam.
Anaonekana ana roho nzuri sana.Ni MTU wa watu huyu Mzee hana Maneno na MTU,tunaojua umuhimu wake ktk hii nchi tunamuombea kwa Mungu azidi kumpa Maisha marefu kama ya Mzee Mwinyi mana hekima na busara zake bado tunazihitaji kama Nchi.
Vipo vingi vya kujifunza kwa huyu Mzee kama tu kichwa chako kinafanya kazi vizuri.naamini nitaonana nae tu Inshaallah
Nashukuru kwa Ushauri Mkuu ntajaribu kuufanyia kaziNenda chalinze.
chap utamuona..
au fika msoga. ukifika kwake eleza shida yako watakupangia appointment naye.
kama unaona njia hizo ndefu.
nenda chalinze fika kwa riz then utakamilisha utaratibu wa kumuona JK.
Nje ya hizo jilipue humu humu jukwaani wapambe wake watapita watamuonesha naye ata ridhia utapata PM.
Kwa msaada zaidi njoo PM
NB HEPUKA MATAPELI