Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,723
- 28,261
Mkuu sio kula MTU unamuona eti kwa kuwa una mapenzi naye,tengeneza CV yako be somebody utapata urahisi wa kumuona.sio lazima use kwenye siasa angalia mfano akina Mpoki walikwenda Msoga kumcheki na kupiga story naye 2 tatu.
Akina Mpoki walipata fursa hiyo sio kutokana na majina yao bali kazi zao.
Akina Mpoki walipata fursa hiyo sio kutokana na majina yao bali kazi zao.