muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
Tunakuomba sana katibu mkuu Mnyika. Tengenezeni utaratibu mzuri wa kukusanya na kutangaza matokeo.
Ile timu yetu iliyovamiwa mwaka 2015, tusifanye makosa hayo. Safari hii hiyo timu iwe nje ya nchi na ziwe timu zaidi ya mbili.
Vijana wapewe bundle. Matokeo yakitoka wanapiga picha na kutuma hapo hapo.
Wakusanya matokeo wana hesabu na Kisha kuyaweka online ili kila mtu ayaone.
Wakijifanya kuchelewesha matokeo wananchi wanayaona matokeo ya kweli mtandaoni.
Huo ndio ujanja aliwafanyia Hamad kule Zanzibar, wakashindwa kuiba ikabidi wafute uchaguzi mzima.
Msiruhusu kituo cha kuhesabu kikawa TZ. Tutavamiwa tena na hawa majambazi wa Ccm.
Ile timu yetu iliyovamiwa mwaka 2015, tusifanye makosa hayo. Safari hii hiyo timu iwe nje ya nchi na ziwe timu zaidi ya mbili.
Vijana wapewe bundle. Matokeo yakitoka wanapiga picha na kutuma hapo hapo.
Wakusanya matokeo wana hesabu na Kisha kuyaweka online ili kila mtu ayaone.
Wakijifanya kuchelewesha matokeo wananchi wanayaona matokeo ya kweli mtandaoni.
Huo ndio ujanja aliwafanyia Hamad kule Zanzibar, wakashindwa kuiba ikabidi wafute uchaguzi mzima.
Msiruhusu kituo cha kuhesabu kikawa TZ. Tutavamiwa tena na hawa majambazi wa Ccm.