Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 871
Kwanini dola isichukue hatua kama huyu jamaa ni wa muda mrefu?lakini nadhani muda si mfefu ataacha kwani sasa hivi watu tumesitisha kutoa pesa baada ya yule dada na aliyeota manyoya mkononi.
Masanilo, swali lako ni sawa na kuuliza "kanzu inavaliwa Comoro?" jibu ni nini?