Alikuwa ni mke mtarajiwa wa one of my best friends...baada ya rafiki yangu kuhangaika sana kutafuta atakaemfaa ndo akaangukia kwa huyu dada. At first, the girl was good, too humble na kiukweli alionyesha tabia nzuri sana kwa jamaa. They met, they discussed and decided to be long life partner (kwa maana wafunge ndoa) na huu ndo ulikuwa mwaka wa kufunga ndoa.
Walikuwa wanaishi sehemu tofauti, bi dada akiwa chuoni mkoa flani hivi na mshkaji wangu akipiga kazi zake pale central zone. Jamaa alianza kuhisi mabadiliko kwa yule bi dada...first alikuwa hana tabia ya kuomba omba hela ovyo na jamaa ndo alikuwa anamtumia tu ila kama akiishiwa huwa anamwambia jamaa na jamaa anatuma. but ikaja time bi dada alipitiliza sana kuomba fedha hadi jamaa akashangaa. Pili, alianza tabia ya kumuongopea mshkaji na kuweka mapozi sana, simu ikipigwa ichukue mda kupokelewa na akipokea mara nimechoka nipigie baadae mara Oooh subiri kata piga baaada ya dakika 5. Jamaa akajiuliza sana akaamua afanye uchunguzi wake mdogo.
Uchunguzi ulipokamilika akagundua kwamba huyu dada maeshikwa masikio na mashosti zake ambao kwa lugha nyepesi naweza kuwaita ni mcharuko na ndo walikuwa wanamfundisha hayo eti kumpima jamaa kama anampenda kweli au la. Pia walimwambia ya kwamba wanaume siku hizi ni kuwalia chao tu, so kamua nae akawa ndo anakamua kweli. Jamaa akabwaga manyanga akaachana nae.
Dada amekuja kuomba msamaha kwamba marafiki zake ndio waliompoteza na kusababisha afanye yote yale. Jamaa anajiuliza maswali kadhaa
1: Kama marafiki wameweza kumteka na kuingiza maneno kiasi hiki na yeye akakubali na kuwafuata, na hii katika uchumba tu, je katika ndoa si itakuwa hivi hvi au zaidi?
2: Dada kama huyu anaweza kweli kuficha siri za ndani za nyumba? maana ameshaonyesha udhaifu
3: Jamaa anajiuliza hivi nguvu ya marafiki si itakuwa kubwa kuliko yake kwa mkewe? maana inaonekana huyu binti ndo alivyojiweka
Je, mdau kama ingekuwa ni wewe na ndo yametokea haya ungefanyaje? na je anastahili kuwa mke?
Walikuwa wanaishi sehemu tofauti, bi dada akiwa chuoni mkoa flani hivi na mshkaji wangu akipiga kazi zake pale central zone. Jamaa alianza kuhisi mabadiliko kwa yule bi dada...first alikuwa hana tabia ya kuomba omba hela ovyo na jamaa ndo alikuwa anamtumia tu ila kama akiishiwa huwa anamwambia jamaa na jamaa anatuma. but ikaja time bi dada alipitiliza sana kuomba fedha hadi jamaa akashangaa. Pili, alianza tabia ya kumuongopea mshkaji na kuweka mapozi sana, simu ikipigwa ichukue mda kupokelewa na akipokea mara nimechoka nipigie baadae mara Oooh subiri kata piga baaada ya dakika 5. Jamaa akajiuliza sana akaamua afanye uchunguzi wake mdogo.
Uchunguzi ulipokamilika akagundua kwamba huyu dada maeshikwa masikio na mashosti zake ambao kwa lugha nyepesi naweza kuwaita ni mcharuko na ndo walikuwa wanamfundisha hayo eti kumpima jamaa kama anampenda kweli au la. Pia walimwambia ya kwamba wanaume siku hizi ni kuwalia chao tu, so kamua nae akawa ndo anakamua kweli. Jamaa akabwaga manyanga akaachana nae.
Dada amekuja kuomba msamaha kwamba marafiki zake ndio waliompoteza na kusababisha afanye yote yale. Jamaa anajiuliza maswali kadhaa
1: Kama marafiki wameweza kumteka na kuingiza maneno kiasi hiki na yeye akakubali na kuwafuata, na hii katika uchumba tu, je katika ndoa si itakuwa hivi hvi au zaidi?
2: Dada kama huyu anaweza kweli kuficha siri za ndani za nyumba? maana ameshaonyesha udhaifu
3: Jamaa anajiuliza hivi nguvu ya marafiki si itakuwa kubwa kuliko yake kwa mkewe? maana inaonekana huyu binti ndo alivyojiweka
Je, mdau kama ingekuwa ni wewe na ndo yametokea haya ungefanyaje? na je anastahili kuwa mke?