Ole wenu mnao kula Sausages - zinaua

Ole wenu mnao kula Sausages - zinaua

Soseji zipi zinazungumzwa hapa.....
 
Na wazungu je, ambao ndiyo chakula chao tangia dahari, mbonj wana life expectancy ya juu kuzidi sisi wabongo.
 
Sasa hii ndio imekaaje tena jamani yaani vitu vyote vitamu vina madhara!sasa tule nini,watasema na ile kitu niipendayo K/moto nayo ina madhara.

Muulize MziziMkavu aje na Taenia solium......
 
Last edited by a moderator:
sasa hii ndio imekaaje tena jamani yaani vitu vyote vitamu vina madhara!sasa tule nini,watasema na ile kitu niipendayo k/moto nayo ina madhara.

hiyo nasikia ndo majanga kuna vijidudu hatari vinazama kwenye figo, moyo, ini, kongosho nk na unakufa mzimamzima lol. Yani kilichobaki ni fruits tu na ugali yatosha!!!
 
asa mtasema paka maharage yanaua mbona hawa wana sayansi wanasema kila kitu kina madhara
 
ss kila kitu kina madhara..mi sitaacha kuzila bana
 
chazaid nikupiga maji,magimbi,mihogo,ugali wa dona,mabamia,ngogwe, na mafuta niyaubuyu tu unatumia na fruits kwa wingiiiiiiii
 
Kiti moto ilishasemwa siku nyingi kwani wewe huna habari? Kitimoto inatakiwa ipikwe kwa masaa 8 ndio unaweza sema imeiva na wadudu waliopo ndani ya nyama iyo wanakuwa wamekufa. Vinginevyo hao wadudu hawafi na huleta madhara kwa binadamu km wewe ni mlaji wa kitimoto mara kwa mara
Hapa Asians hasa Japanese na Chinese wangeshakufa wote maana pork ni tradition yao anzia breakfast. Kijijini miaka hiyo nyama kuu ilikuwa ni kitimoto na mafuta yake unachemsha yanapikia. Wazee wameishi miaka mingi sana.
 
Back
Top Bottom