Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Kwa mara kadhaa nimewasikia viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mbowe,Lissu na hivi karibuni nimemsikia Ole Sosopi akiongopea umma kuhusu Wizara ya TAMISEMI.
Kutokana na umbumbumbu wao pamoja na wengi wa wafuasi wao wamekuwa wakisema "Hakuna awamu ambayo TAMISEMI ilikuwa chini ya ofisi ya Rais" wakihalalisha kuwa Rais Magufuli kafanya hivyo ili kujilimbikizia madaraka.
Ni hivi ukweli ni kuwa Wizara ya TAMISEMI imekuwa chini ya ofisi ya Raisi katika awamu zote isipokuwa enzi za JK ambaye alihamishia Wizara ya TAMISEMI ofisi ya waziri Mkuu.Kwa kuweka kumbukumbu sawa enzi za Mzee Mkapa TAMISEMI ilikuwa chini ya ofisi ya Rais kwa miaka yote kumi (10).
Ninaambatanisha orodha ya baadhi ya Wizara na mawaziri wa serikali ya Benjamin Wiliam Mkapa kuweka kumbukumbu
sawa.
Kwa mara kadhaa nimewasikia viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mbowe,Lissu na hivi karibuni nimemsikia Ole Sosopi akiongopea umma kuhusu Wizara ya TAMISEMI.
Kutokana na umbumbumbu wao pamoja na wengi wa wafuasi wao wamekuwa wakisema "Hakuna awamu ambayo TAMISEMI ilikuwa chini ya ofisi ya Rais" wakihalalisha kuwa Rais Magufuli kafanya hivyo ili kujilimbikizia madaraka.
Ni hivi ukweli ni kuwa Wizara ya TAMISEMI imekuwa chini ya ofisi ya Raisi katika awamu zote isipokuwa enzi za JK ambaye alihamishia Wizara ya TAMISEMI ofisi ya waziri Mkuu.Kwa kuweka kumbukumbu sawa enzi za Mzee Mkapa TAMISEMI ilikuwa chini ya ofisi ya Rais kwa miaka yote kumi (10).
Ninaambatanisha orodha ya baadhi ya Wizara na mawaziri wa serikali ya Benjamin Wiliam Mkapa kuweka kumbukumbu
sawa.