PreGE2025 Ole Sendeka: Natamani Tundu Lissu atoke gerezani aje ashindane na Rais Samia

PreGE2025 Ole Sendeka: Natamani Tundu Lissu atoke gerezani aje ashindane na Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
“Mimi ningekuwa ni wakili ningekiomba chama changu kwenda kumsaidia, Tundu Lissu ashinde kesi namtamani sana angekuja kugombea na Rais Samia Suluhu kwa sababu sio tishio kwa namna yoyote ile”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Wapinzani ingetakiwa wakae waone namna watakuja kushiriki uchaguzi wasiache kushiriki uchaguzi, sawa wana hiari ya kushiriki au kutokushiriki lakini sisi raha tungepata mshindani ndio tungeweza kufurahi zaidi” -Ole Sendeka.


 
Naona kama anafikisha ujumbe kifasihi zaidi kuwa hiyo kesi haina mashiko na TAL ana uwezo wa kuishinda kwa zaidi ya 💯%.

Pia kuwawekea vikwazo wapinzani hakunogeshi mchuano,yaani sisiem kupita bila kupingwa inamboa huyo mwamba kidizaini.

Lakini pia anawish TAL agombee. Ukute kura yake ni huko, maana watz hatuaminiki
 
Mbona hamtaki tume huru? Tume ni ya kwenu na bado mnatumia vyombo vya dola kuwakandamiza CHADEMA?
Ulishasikia wapi Tume huru ndiye inayopiga kura?

Wananchi ndio wapigaji kura.

Sasa kwa hizi mbinu na mikakati ya CHADEMA wakiongozwa na Mamluki na vibaraka na mawakala wa Kibeberu, za kuigawanya Tanzania na Wananchi wake...

...CHADEMA hata ikiwaita Wanachama wake wote, haitashinda uchaguzi.

Huo ndio Ukweli.

====
Narudia alichokisema...Tundu hawezi kuwa tishio kwenye sanduku la kura.

Nasema, Tundu ni Tishio kwa Usalama wa Kitaifa na Uhuru wake(He is a threat to our Sovereignty)

Hatahivyo, hoja zenu za kwamba Tume sio huru, hazina mashiko.
 
Tishio kwenye sanduku la kura, kwani Tanzania kuna uchaguzi au kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura?
☝🏿 hilo juu ni Copy and Paste.

Haijalishi

Umeshakuwa mvivu wa kuandika? Wewe Tindo
 
Ulishasikia wapi Tume huru ndiye inayopiga kura?

Wananchi ndio wapigaji kura.

Sasa kwa hizi mbinu na mikakati ya CHADEMA wakiongozwa na Mamluki na vibaraka na mawakala wa Kibeberu, za kuigawanya Tanzania na Wananchi wake...

...CHADEMA hata ikiwaita Wanachama wake wote, haitashinda uchaguzi.

Huo ndio Ukweli.

====
Narudia alichokisema...Tundu hawezi kuwa tishio kwenye sanduku la kura.

Nasema, Tundu ni Tishio kwa Usalama wa Kitaifa na Uhuru wake(He is a threat to our Sovereignty)

Hatahivyo, hoja zenu za kwamba Tume sio huru, hazina mashiko.
 
“Mimi ningekuwa ni wakili ningekiomba chama changu kwenda kumsaidia, Tundu Lissu ashinde kesi namtamani sana angekuja kugombea na Rais Samia Suluhu kwa sababu sio tishio kwa namna yoyote ile”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Wapinzani ingetakiwa wakae waone namna watakuja kushiriki uchaguzi wasiache kushiriki uchaguzi, sawa wana hiari ya kushiriki au kutokushiriki lakini sisi raha tungepata mshindani ndio tungeweza kufurahi zaidi” -Ole Sendeka.

View attachment 3349974

Safi kabisa. Lissu siyo tishio. Basi na wakubali Reforms. Twende dakika 90 Maza vs Simba:

Lucas Mwashambwa, njinjo, Tlaatlaah, imhotep na wale wengine.

Tushuhidie nani atapigika kama ngoma.

Kwa hoja!
 
“Mimi ningekuwa ni wakili ningekiomba chama changu kwenda kumsaidia, Tundu Lissu ashinde kesi namtamani sana angekuja kugombea na Rais Samia Suluhu kwa sababu sio tishio kwa namna yoyote ile”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Wapinzani ingetakiwa wakae waone namna watakuja kushiriki uchaguzi wasiache kushiriki uchaguzi, sawa wana hiari ya kushiriki au kutokushiriki lakini sisi raha tungepata mshindani ndio tungeweza kufurahi zaidi” -Ole Sendeka.


Haina hii ya wazee , wapo na mchango mdogo kwa Taifa, wazee wa kwenda na upepo wa kisiasa
 
Ulishasikia wapi Tume huru ndiye inayopiga kura?

Wananchi ndio wapigaji kura.

Sasa kwa hizi mbinu na mikakati ya CHADEMA wakiongozwa na Mamluki na vibaraka na mawakala wa Kibeberu, za kuigawanya Tanzania na Wananchi wake...

...CHADEMA hata ikiwaita Wanachama wake wote, haitashinda uchaguzi.

Huo ndio Ukweli.

====
Narudia alichokisema...Tundu hawezi kuwa tishio kwenye sanduku la kura.

Nasema, Tundu ni Tishio kwa Usalama wa Kitaifa na Uhuru wake(He is a threat to our Sovereignty)

Hatahivyo, hoja zenu za kwamba Tume sio huru, hazina mashiko.
Screenshot_20250415_093714_X.jpg
Screenshot_20250409_170157_X.jpg
Screenshot_20250405_004444_X.jpg
downloadfile.png

Sasa wewe na hawo viongozi wako na waliokuwa wanajeshi ni nani mkweli?
 
Back
Top Bottom