Ole Naiko: Mnatuonea watu wa Monduli

Huyu bwana anaona anataka kuleta kitu kingine kiitwacho Ukabila ili kukwepa kutoka kwenye kashfa hii ni pia kumtetea bwana EL. Hawezi kutupeleka kwenye ukabila kirahisi hivyo .....TIC haiwezi kukwepa lawama hapa kama Richmond imejulikana kuwa ni kampuni hewa!!

Report ya kamati ya Dr. Mwakyembe imetaja TIC sio OLE NAIKO na kabila lake. Sasa ndo utajua kuwa viongozi wengi wanaoongoza taasisi nyeti ni watu wenye upeo mdogo wa uelewa. Watu wa namna hii ndo walifilisi mashirika ya umma.
 
ole naiko has a point,kama mwakyembe alitaka ku probe usajili mzima wa richmond lazima angetakiwa kuwahoji all licencing authority ambao ni HALMASHAURI YA JIJI[AFISA BIASHARA]-LESENI YA BIASHARA,MAMLAKA YA MAPATO-TAX CLEARANCE CERTIFICATE,BRELA,WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA - LESENI,BANK ILIYOMPA BARUA,WAKILI ALIYEMUAPISHA ets....tofauti na hapo tuache ushabiki..tu,TIC wao hutoa approval ya investment baada ya kuridhika na document za hao wengine...kama wao wamepitisha na mwekezaji ana meet requirement hawawezi kumnyima...

...sioni ubaya kwa aliyoyasema ole naiko..ameamua kusema ukweli ,wakitaka na yeye wamfukuze kazi!!! period!!!

hebu nieleweshe kidogo hapa,Richimodi ilisajiliwa kwa msajili wa makampuni kama mwekezaji kutoka nje au local investor.
 
Huyu anaingia kwenye listi ya Agenda 21 bila kupingwa.

List ya Agenda 21 inaanza hivi:1. EL 2. RA 3. OLE NAIKO 4. Yule mwandishi aliyeandika kuwa EL kapokewa na watu 10,000 na magari 400 kule Monduli, na wengine muongezee majina....
 
Watanzania wote tukatae maneno ya kujisafisha kutoka kwa viongozi wetu wabovu on ukabila line, it is a pure nonesense na very shallow in thinking, kama anayosema ni kweli basi alipopewa uongozi angelia mbona tunakuwa Monduli tupu kwenye uongozi wa juu hivyo angeukataa, sasa saaa hizi za wabunge kumkoma nyani ndio analilia ukabila ambao ndio in the first place ndio uliomfikisha hapo kwenye mlo, ili asigombee ubunge wa mheshimiwa au anafikiri hatujui hilo?

Hawa viongozi wengine kabla ya kujua ubovu wao, sometimes tujiulize walifikiaje huko kwenye mlo, then hatutakuwa na maswali zaidi, yeye Mwanyika, na Hosea watoke tu sio kutuletea maneno ya Biblia saa hizi, maan tunakumbuka jinsi wazungu walivyotupa hizo Biblia na kuchukua ardhi yetu, hatutakubali tena maneno ya Biblia.
 
Watanzania wote tukatae maneno ya kujisafisha kutoka kwa viongozi wetu wabovu on ukabila line, it is a pure nonesense na very shallow in thinking, kama anayosema ni kweli basi alipopewa uongozi angelia mbona tunakuwa Monduli tupu kwenye uongozi wa juu hivyo angeukataa, sasa saaa hizi za wabunge kumkoma nyani ndio analilia ukabila ambao ndio in the first place ndio uliomfikisha hapo kwenye mlo, ili asigombee ubunge wa mheshimiwa au anafikiri hatujui hilo?

Hawa viongozi wengine kabla ya kujua ubovu wao, sometimes tujiulize walifikiaje huko kwenye mlo, then hatutakuwa na maswali zaidi, yeye Mwanyika, na Hosea watoke tu sio kutuletea maneno ya Biblia saa hizi, maan tunakumbuka jinsi wazungu walivyotupa hizo Biblia na kuchukua ardhi yetu, hatutakubali tena maneno ya Biblia.

Kwenye hili niko nawe mia kwa mia kwa mia kwa mia kabisa .Udini na ukabila ndiyo sasa unaonekana kwenye reallity au vipi ? Bado tu watasema mengi maana na urafiki mbali ya ukabila pia ni mwingi .Mtaimba sana akina Ole .
 
Kwenye hili niko nawe mia kwa mia kwa mia kwa mia kabisa .Udini na ukabila ndiyo sasa unaonekana kwenye reallity au vipi ? Bado tu watasema mengi maana na urafiki mbali ya ukabila pia ni mwingi .Mtaimba sana akina Ole .

Hawa wakati wanakula walikuwa peke yao na hatujasikia kuwa walishirikiana na makabila yao, sana sana utawaona unapokaribia uchaguzi ndio wanaenda kujikomba! Iweje leo wabunge wanapokushughulikieni ndio unawaita ndugu zako wakuokoe?

"... kila mtu atabeba masalaba wake" .. C. D. Msuya, 1982.
 
Haya kila mtu sasa ameona uwezo wa kiwango cha chini kabisa kimawazo wa Ole Naiko. Hatufai pale TIC. Tunahitaji competent persons than him ili kufanikisha investment zenye faida kwa taifa.
 
Habari Leo

MKURUGENZI wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Emanuel Ole Naiko, ameituhumu Kamati Teule ya Bunge kwa kumhusisha na kashfa ya Richmond huku akisema anaamini ilifanya hivyo kwa nia ya kumkomoa kwa vile yeye ni mzaliwa wa Monduli.

Hivi kumbe Msabaha, Karamagi, Mwakapugi etc ni wazaliwa wa Monduli?

Ole Naiko >> you'll never cease to amaze me!!!!
 
Unajua kama ni mziki uyu mzee yuko offbeat kabisa.
Yaani kakosa cha kujitetea anaanza kuropoka mambo ya Ukabila.

Hii inaonyesha ni jinsi gani alivyokuwa mshiriki mkuu ktk ilo ili amsupport the former PM ktk kuitia nchi hasara kama sio kuihujumu.

Tena inabidi atimuliwe haraka apo TIC hatuitaji mtu hopeless kama wa aina yake.Kampuni umeisajiri manake ukawapa green light wenzio kuproceed na mengineyo.Unaweza kuta walilonga kirugha na former PM ili ilo kampuni lipitishwe.
 
Ole naiko ni mshirika mkubwa wa EL hata sherehe za nyumbani kwa EL ndio anakuwa msemaji wa familia ya EL.Na pia EL amembeba sana mpaka kufikia hapo alipo sasa amepanic kwa vile GOD FATHER IS NO LONGER.......
Ana akili fupi sana mhhhhh
 
Watanzania wote tukatae maneno ya kujisafisha kutoka kwa viongozi wetu wabovu on ukabila line, it is a pure nonesense na very shallow in thinking, kama anayosema ni kweli basi alipopewa uongozi angelia mbona tunakuwa Monduli tupu kwenye uongozi wa juu hivyo angeukataa, sasa saaa hizi za wabunge kumkoma nyani ndio analilia ukabila ambao ndio in the first place ndio uliomfikisha hapo kwenye mlo, ili asigombee ubunge wa mheshimiwa au anafikiri hatujui hilo?

Hawa viongozi wengine kabla ya kujua ubovu wao, sometimes tujiulize walifikiaje huko kwenye mlo, then hatutakuwa na maswali zaidi, yeye Mwanyika, na Hosea watoke tu sio kutuletea maneno ya Biblia saa hizi, maan tunakumbuka jinsi wazungu walivyotupa hizo Biblia na kuchukua ardhi yetu, hatutakubali tena maneno ya Biblia.

maswali mengi juu ya richmond, ila jibu hatupati. ila by the mid of this year tutaona mengi.
 
Which is worse…saying something and wishing you hadn’t or saying nothing and wishing you had?
 
Kiongozi yeyote anayetumia udini, kabila, rangi au eneo analotoka ama namna yeyote ambayo inayodisplay 'ethnicity' kama ndio msingi wake wa kujenga hoja, basi huyo ni kiongozi mufilisi.

Viongozi wa namna hii hawana nafasi ktk Tz ya jana, leo na kesho na tutawapinga kwa nguvu zote. Tulimpenda Moringe kwa misimamo yake na si sababu nyingine, tulimpenda Nyerere na Mzee Karume na wengineo kwa misimamo yao na si vinginevyo.

Long live Tanzania
 
Back
Top Bottom