Ole Milya azomewa msibani

Ole Milya azomewa msibani

Hao ni waombolezaji au wazomeaji? I mean kama nimefiwa na mtu wangu wa karibu ninayemjali sijui kama nitapata muda au hata nguvu ya kuzomea mtu.

Soma habari vizuri halafu shirikisha ubongo vyema.

Nimeeleza vizuri baada ya maziko Ole Millya alipewa nafasi ya kutoa salamu badala ya kujikita katika tukio lenyewe kama wenzake yeye akakimbilia kuongelea mambo ya CCM huku kila mtu akielewa fika jinsi alivyonunuliwa.
 
Evidence hizi habari za kukaa ndani ya shuka na kuanza kujitungia tu ili upate kusoma comment za watu siku iende

Sent using Jamii Forums mobile app

Evidence gani ?Muulize Nyalandu au Lema watakwambia kwasababu ilibidi wacheke huku Millya akijaribu kuingiza jina la Sokoine lakini wapi hadi MC akampokonya mic 🎤 kwa kumwonea huruma.
 
Watu wote walioongea kabla yake hakuna aliyeleta uchama msibani, sasa yeye peke yake ndio akaona ni mahali sahihi kuongelea CCM ....Alitakiwa tuu kutumia busara. ......
 
Watu wote walioongea kabla yake hakuna aliyeleta uchama msibani, sasa yeye peke yake ndio akaona ni mahali sahihi kuongelea CCM ....Alitakiwa tuu kutumia busara. ......


Watakwambia leta ushahidi 🛶
 
Katika hali ya kushangaza Ole Millya azomewa msibani.Hili limetokea baada ya kupewa nafasi ya kutoa salamu na kuingiza masuala ya CCM ndipo waombolezaji walipomtolea uvivu na kuanza kumzoea kwa nguvu
weka video ku back up hii habari usituletee matango pori
 
Jimbo liko wazi huko, namwona Ole Sendeka anavyokea kwenye mashavu!
 
Jimbo liko wazi huko, namwona Ole Sendeka anavyokea kwenye mashavu!

Nasikia wabunge wote walionunuliwa wana mkataba wa kuachiwa jimbo hadi 2020.Huu mkataba Slow slow kasign sijui wafia chama kama watakubali.
 
Back
Top Bottom