Mshume Kiyate JF-Expert Member Feb 27, 2011 6,766 894 Mar 29, 2012 #41 Hivi mtu unaweza kupigwa na wananchi ukaendelea na kazi zako kama kawaida hata hospital uendi? huyo atakuwa kapigwa na maganda ya mayai.
Hivi mtu unaweza kupigwa na wananchi ukaendelea na kazi zako kama kawaida hata hospital uendi? huyo atakuwa kapigwa na maganda ya mayai.
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Mar 29, 2012 #42 ndo kauli mbiu ya magamba huko Arumeru 'Rushwa kwanza bwana'
A2 P Senior Member Mar 22, 2012 184 43 Mar 29, 2012 #43 Ole Meideye Umeshaweka jimbo lako rehani. Utapambana na Diwani wa Sekei kupitia CDM. Ukombozi umekuja
Ole Meideye Umeshaweka jimbo lako rehani. Utapambana na Diwani wa Sekei kupitia CDM. Ukombozi umekuja