Ole Medeye, apigwa na wananchi akitoa rushwa - Arumeru Mashariki

Nanyaro Ephata

JF-Expert Member
Jan 22, 2011
1,221
1,788
Baada ya ccm kuzidiwa kila kijiji,leo Naibu Waziri wa Ardhi Ole Medeye,akiwa na gari ya Serikali,alifika Kata ya Mbuguni,akiwa kwenye kikao cha ndani cha kutoa rushwa,ndipo wananchi waliokusanyika kumsikiliza naibu waziri,walishangaa kupewa rushwa ya shilingi 20,000,kila mmoja,badala ya kupokea wakaanza kumshambulia Ole Medeye,na kumweleza kuwa walifikiri anakuja na majibu ya matatizo yao ya ardhi na si kuwapa hela,Medeye alifanikiwa kutoroka na kukimbilia shuleni ambako umma ulizidi kumkimbiza,ndipo akaomba msaada wa polisi na aliondoka chini ya ulinzi mkali wa polisi.
 
Mkuu Nanyaro,
Nakuamini, and I wish hii taarifa ni ya kweli!
CCM choka mbaya!
Sijui akina Nchemba wataficha wapi nyuso zao
 
Safi sana wana Arumeru! Pigeni mkiweza ueni kabisa manake wanawadharau, elfu 20 inatosha kula siku ngapi kwa maisha ya leo?
 
Elfu ishirini ndio agreed kiwango chao cha rushwa nini kipindi hii, jana Leganga wamegawa ishirini ishirini kwa jamaa wa toyo, majuzi wamegawa ishirini ishirini kwa wachungaji pale Getaway
 
kwa nini hawakumvunja mguu ,mwendawazimu hivi wanadhani nchi hii ni yao pekeyao wanaweza kufanya chochote na wananchi wakawaangalia tuu ,elfu ishirini ni kitu gani kama sio dharau kuu wamemuweza sidhani kama atarudia tena anatumia gari la serikali roho inauma sana
 
Baada ya ccm kuzidiwa kila kijiji,leo Naibu Waziri wa Ardhi Ole Medeye,akiwa na gari ya Serikali,alifika Kata ya Mbuguni,akiwa kwenye kikao cha ndani cha kutoa rushwa,ndipo wananchi waliokusanyika kumsikiliza naibu waziri,walishangaa kupewa rushwa ya shilingi 20,000,kila mmoja,badala ya kupokea wakaanza kumshambulia Ole Medeye,na kumweleza kuwa walifikiri anakuja na majibu ya matatizo yao ya ardhi na si kuwapa hela,Medeye alifanikiwa kutoroka na kukimbilia shuleni ambako umma ulizidi kumkimbiza,ndipo akaomba msaada wa polisi na aliondoka chini ya ulinzi mkali wa polisi.

Asante kwa taarifa mkuu!kuna maeneo kina mama wameambiwa watengeneze vikundi na walist majina yao ili wapewe misaada ikiwa ni ahadi ya mama Nagu.wanatumia kila mbinu fuatilieni hili.
 
Baada ya ccm kuzidiwa kila kijiji,leo Naibu Waziri wa Ardhi Ole Medeye,akiwa na gari ya Serikali,alifika Kata ya Mbuguni,akiwa kwenye kikao cha ndani cha kutoa rushwa,ndipo wananchi waliokusanyika kumsikiliza naibu waziri,walishangaa kupewa rushwa ya shilingi 20,000,kila mmoja,badala ya kupokea wakaanza kumshambulia Ole Medeye,na kumweleza kuwa walifikiri anakuja na majibu ya matatizo yao ya ardhi na si kuwapa hela,Medeye alifanikiwa kutoroka na kukimbilia shuleni ambako umma ulizidi kumkimbiza,ndipo akaomba msaada wa polisi na aliondoka chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mkuu, haya ni ya kweli? Je,wahandishi wa habari walikuwepo? Binafsi huwa naziamini sana taharifa zako.
Lakini kama hii ni kweli basi mujitahidi kadri ya uwezo wenu hii kitu kesho itoke kwenye media as soon
 
...naona wananchi hasa wameamua kwenda hatua nyingine kuichukia rushwa na unafiki kwa vitendo.CCM wataibadili hiyo taarifa kesho, itakuwa..........
 
Mimi ni wa mbuguni na huyu jamaa ana baati sikuepo manake ningemvunja mbavu moja.


Kamanda nakwambia ningekuwepo ningemwosha kilichomnyoa KANGA NDEGE manyoa ya shingo!

shenzi wahid!!
Anaenda kutoa rushwa ingali wanainchi waliompa kura wanaadhirika kero ya maji ya kunywa!

Ana bahati kweli sikuwepo!!
 
Back
Top Bottom