Maarko
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,189
- 602
Tatizo la viongozi wa makanisa siku hizi halifuati maadili ya madhehebu yao,hakuna kanisa lolote hapa duniani lenye jukwaa,katika makanisa kilichoko ni MADHABAHU,haiwezekani(Haipendezi) madhabahuni pawe sehemu ya kufanyia siasa,viongozi wa madhehebu wanaoondekeza njaa zao ndio pekee wanaokubali kuwaita viongozi(waliokua) wachafu kujisafishia katika makanisa yao.