Mwanaccm wa kadi kama Mimi na mjumbe wa mkutano mkuu wa kata tawi fulani,nimetick jana na nitatick jina nitakaloliona Kwa balot hapo mbeleni whether iwe October, November, December au January!
Kwani nikuulize,hao checkers wanataika sisi tuje tu tick lini!!?
Nauliza!