Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
kama kuna mtu anataka pini za zamani ni kiasi cha kunieleza tu unazitaka kwa mfumo gani...
CD audio au MP3.
CD audio au MP3.
Napenda version nyingine zaidi. Featuring KRS-One, mkuu nilibahatika kuwaona live club 911, Georgetown DC 1998. Akhsante kwa kunikumbusha!!Hii ni special thread kwa wazee wa old skul kali za mtoni.1990s was an era of diversity. You want corny, turn on the radio and chances are you'll hear Pitbull, Lil Wayne and 50Cent shit. Thats corny.
Haya ma ol timers wenzangu mwageni.
My youtube is messing up!!
Lost boys - Renee (remix)
Gangstarr - Full clip.
Mobb Deep - Shook ones
Luniz - I got 5.
"Hate Me Now" By Nas (ft. Puff)
kama kuna mtu anataka pini za zamani ni kiasi cha kunieleza tu unazitaka kwa mfumo gani...
CD audio au MP3.
Yo yo is always banned!
i wish namimi nipigwe ban.sijui jamaa uwaanafanya nini cha kumshawish mod amlime ban.old xul ni 5 oclock in the morning wacha kabsa ihi kitu ilikimbiza mbaya.
"Hate Me Now" By Nas (ft. Puff)
Mkuu nasikia kuna msanii anaitwa Mahino teh teh na mwingine anaitwa Mohombi...
Dah sorry kwa yote ila hapa twawazungumzia ngoma ngumu kama Daz efx, onyx, lord of the underground, Dr Dre, mobb deep, Lost boys, krs1, kool G. Rap, Naught by nature, 213, pac, the firm, wu tang, luniz, nonchalante, bone thugz, NWA na we gine wengi bila kulisahau Hiphhop Mogul nguli Marion Suge Knight...