cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,769
- 73,510
Naishia hapa
Kuburudika kwema wadau.
chuma cha mjerumani njoo uburudike leo Friyay kwa post nne nilizorusha.. ukiwa huzijui nakukumbusja njoo tu huku kijijini ulime.. eeeh
Maajabu leo umenikumbuka kwa mazuri mpaka nimeogopa unampango wakunikopa nini???
Kumbe unajua miziki nilijua ni taarabu tu ndo unajua.
Ha ha haaaaaaaaa
Yaani wewe Chuma gumu huishiwi maneno.. haya weeee
Unapenda kunitajia pesa mwana kijiji mimi.. ungetaka kupata zaidi kwa riba.. si ungejitangaza humu.. looo haya gumu wewe.. kula bata mjini.. eti kukopa.. ningekuwa sina dini ningekufanya mbuzi kabisa.
Ha ha ha usiyempenda hafi,hawi, mbuzi, hawi kuku tutabanana hapa hapa mpaka ujute kunijua
Kaka mbona kama uliaga?Watoto hawaruhusiwi kutumia JF?
Anhaa owkeyNamalizia weekend halafu naenda mafunzoni Cuba
Nimekuelewa mkuu! Na mimi natafuta huo wimbo,jina silijui ni wa 1997_2000.Bebi halaaa yuwomiii Bebi halaaa ifu hili miiiii
Ndo ilivyo mkuuSijui kwanini old schools nachukulia ni nyimbo za 90's kushuka chini