Kuna sie wahenga wa kitambo ambao hizi mlizoweka tunaziona ni za juzi juzi.
Yaani sie tunasubiria nyimbo kama
1) Afroreign - Jiji la Bongo.
2) Saleh Jabir - Remix zake zote, Nyimbo kiswahili Ila beats za nje.
3) Sugu ft. Mr. Paul - Yoyote, Popote
4) W10N - Makalateli
5) ........ Mauza uza (Mambo Zig zag)
6) .... ft. Maua - Mwanza Zirekebishwe barabara.
7) ..... - Puff after Puff (Crazy Crazy)
8) Mr. Able - Love (R&B ya kizungu)
9) Sugu - Wapi tunakwenda
10) Baggz Malone/KU Crew - Utaona
Sisi tunasaidiwaje sasa?
Mkubwa
Kuna nyimbo ziko tayali hapa na
zingine tafuta ule uzi wa Bongo records hits.
Niliweka pale
Mkubwa salama
Hizi nyimbo zipo na ilikuwa nizipandishe
Kuna watu wanakwaza sana hapa.
Huo uzi uko wap.. Nimeutafuta siuoni naomba link
Dah,Mkubwa salama
Hizi nyimbo zipo na ilikuwa nizipandishe
Kuna watu wanakwaza sana hapa.
Hahahahaaa nimekukubali kuna wimbo mwingine waKuna sie wahenga wa kitambo ambao hizi mlizoweka tunaziona ni za juzi juzi.
Yaani sie tunasubiria nyimbo kama
1) Afroreign - Jiji la Bongo.
2) Saleh Jabir - Remix zake zote, Nyimbo kiswahili Ila beats za nje.
3) Sugu ft. Mr. Paul - Yoyote, Popote
4) W10N - Makalateli
5) ........ Mauza uza (Mambo Zig zag)
6) .... ft. Maua - Mwanza Zirekebishwe barabara.
7) ..... - Puff after Puff (Crazy Crazy)
8) Mr. Able - Love (R&B ya kizungu)
9) Sugu - Wapi tunakwenda
10) Baggz Malone/KU Crew - Utaona
Sisi tunasaidiwaje sasa?
Hahahahaaa nimekukubali kuna wimbo mwingine wa
Sharp Shooter - Ubandidu
Afro Reign ft Hashim Dogo - Saa za kazi
John Mjema - Spare Tyre
Da Joh ft Bad Spark - Da Jo Da Jo Tumekukubali Inspector anazimia na yeye hahaaa
Nilijua Mtoto wa TMK.Da jo mtoto wa kigambonino
Tuma link ya uzi mkuu
Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.www.jamiiforums.com
safi sana