Oktoba tunatiki chali kama Chaumma

Oktoba tunatiki chali kama Chaumma

Daima HIARI YASHINDA UTUMWA...

Chaumma kiliwezeshwa ili kukiuwa CHADEMA kimeangukia pua na sasa kiko njiani kuelekea ICU then mortuary!
Vipi kuhusu 'Oktoba tunatiki (October tuna tick) imeanzishwa baada ya moto wa NO REFORMS NO ELECTION fukuto lake kugusa mfupa.. Muda huu sijui imefia wapi huko

Kilichobaki ni wazalendo wanajiuliza kati ya oktoba tunatiki na chaumma ipi tuzike hapahapa ipi tusafirisheView attachment 3361286
OKTOBA TUNATIKI sio uanaharakati wa NO REFORM. Huo ni usheria na ukanuni wa kwamba Kila baada ya miaka mitano kuwe na Uchaguzi Mkuu. OKTOBA TUNATIKI means miaka mitano ya kikatiba imefika na tukiwa hai INSHAALLAH kupiga kura ni takwa la kisheria ambalo lazima litimie...INGETAMKWA AGOSTI TUNATIKI hio ingeleta MUSHKEL. Sasa hiyo NO REFORM ipo kwenye KIFUNGU Cha ngapi Cha katiba na kanuni zilizopo. Namaanisha OKTOBA TUNATIKI imehalalika kikatiba na is of no compromise. No Reform No Election ni uwendawazimu ambao matibabu yake hapa nchini hayapatikani.
 
Kuchagua CCM ni kuhalalisha watoto wetu kulawitiwa. Serikali ya watekaji na walawiti.
 
Tuupe muda nafasi.Kumbuka kua ata chadema ilianza kwa kusua sua kipindi hicho CUF ilikua moto kikiwa ni chama kilichoungwa mkono sehemu kubwa yaukanda wa pwani na visiwani uku chadema kikionekana kama chama cha kaskazini na wachaga.Leo chadema kina miaka 33 uku chauma kikiwa na miaka 12.Chadema ikiwa umewai kupeleka wabunge kadhaa bungeni nakua chama kikuu cha upinzani uku chauma ikiwa haijawai ata kupata mbuge mmoja.Ninaweza kusema endapo Chaumma itazicheza karata zake vizuri kinaweza kuja kua chama kikubwa hapo mbeleni.Kwasababu Chama kinakua kikubwa kwasababu ya mikakati sio kwasababu ya wingi wawatu kwenye mitandao au mikutanoni.Ukifwatilia historia ya CUF na Nccr kipindi vinaisumbua Ccm utaelewa ninachomaanisha.Tuupe muda nafasi utakuja na majibu sahihi.
 
Daima HIARI YASHINDA UTUMWA...

Chaumma kiliwezeshwa ili kukiuwa CHADEMA kimeangukia pua na sasa kiko njiani kuelekea ICU then mortuary!
Vipi kuhusu 'Oktoba tunatiki (October tuna tick) imeanzishwa baada ya moto wa NO REFORMS NO ELECTION fukuto lake kugusa mfupa.. Muda huu sijui imefia wapi huko

Kilichobaki ni wazalendo wanajiuliza kati ya oktoba tunatiki na chaumma ipi tuzike hapahapa ipi tusafirisheView attachment 3361286
Lisu aachiliwe ili kampeni zianze sasa
 
Back
Top Bottom