Mimi sijaona mahali alipoomba radhi. Au Kiinglish kimenipita kambo.
Nilichoelewa ameamdika kwamba:-
"Tuanze ukurasa mpya au tuanze upya. Tusahau yaliyopita. Pia tunajifunza kutokana na makosa"..... .mwisho wa kutafsiri. Sasa hapo radhi aliyoomba iko wapi? Angekuwa muungwana kweli alitakiwa awe wazi kwenye andiko lake. Aseme kuwa anaomba radhi (I apologise) kwa kushindwa kumpa pasi mwenzake aliyekuwa kwenye nafasi ya kufunga goli. Uombaji huu wa msamaha wa kirejareja hauonyeshi kujutia kosa na huenda akaendelea na tabia yake hiyo ya ubinafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.