Jamani jamani jamani kweli peponi TUTAINGIA WACHACHE..
kwa dunia ya sasa, mwanaume anabalehe akiwa na miaka 13, tana yupo darasa la 5
kisha anakaa tuuu hadi afike umri wa kuoa.. bila kufanya tendo pre mariege sex!!!! haiji.. hata humu wengi hawajaolewa wala kuoa lkn wanajua kila kitu juu ya sex kuliko hata wenye ndoa.. yaani mnagegedana to the maximum..
wanandoa wana staha.. yaani huwezi kumgegeda mkeo kama unavyo mgegeda demu wa mtaani tu. au sijui kwa wanawake kama una piga sarakasi kwa mumeo za kufa mtu kama unavyompigia buzi unaetaka kumchuna..
so tendo la uchumba lipo na pia kuna la PRE MARIAGE