Okoeni uchumba huu - msaada

Okoeni uchumba huu - msaada

nimepata mwanga kidogo...so anaekua na maji mengi ndo anakua wa baridi si ndio?

noo nooo noo sijamaanisha hivyo.. nina amaanisha, kuna wenye joto, kuna wenye mnato, kuna wenye kupwaya japo hapo inategemea na size ya men.. kuna wengine wakavuuuu inakupasa kutumia muda zaidi kumuandaa ili awe na majimaji... kwani wewe huwa inakuwaje mnapoanza? jamaa huwa anakwambiaje?
 
Nilishawahi kukutano nayo hii mara 2 hivi japo ni rare sana. Nikachukulia kirahisi tu sikuwahi kuwaza na ukizingatia nilikua napita tu. Ngoja niifanyie literature review.
 
Nilishawahi kukutano nayo hii mara 2 hivi japo ni rare sana. Nikachukulia kirahisi tu sikuwahi kuwaza na ukizingatia nilikua napita tu. Ngoja niifanyie literature review.

ic tatizo lipo. ila wengi huchulia ni kawaida.. nashukuru kuna mtu kani PM ananiambia kanda ya ziwa lipo sana...
 
no mercy hapo kaka piga chjni kachukue mwengine...wao usipowatom.ba vizuri wataenda gawa nje sasa yeye aseme ukweli tuu bby u cnt f.uck so am leaving u before i cheat.
 
ooooh..okay nimekuelewa..asante kwa kunielewesha
noo nooo noo sijamaanisha
hivyo.. nina amaanisha, kuna wenye joto, kuna wenye mnato, kuna wenye
kupwaya japo hapo inategemea na size ya men.. kuna wengine wakavuuuu
inakupasa kutumia muda zaidi kumuandaa ili awe na majimaji... kwani wewe
huwa inakuwaje mnapoanza? jamaa huwa anakwambiaje?
 
no mercy hapo kaka piga chjni kachukue mwengine...wao usipowatom.ba vizuri wataenda gawa nje sasa yeye aseme ukweli tuu bby u cnt f.uck so am leaving u before i cheat.

mmmhhh
halafu ww naona umerudi kwa fujo ndo ushauri gani huu!!?
acha hizo bana
 
tendo la uchumba sijalijua! labda ilo huwa nilabaridi,ila tendo kama nila ndoa lazima liwe sawa waambia waache uasherati
 
Naombeni kuuliza wajameni! Hivi watu wanaoana kwaajili ya sex eeeh!
Of course ndoa ni tendo la ndoa, otherwise si wangeoana wanawake watupu au the opposite au kila mtu angebaki kwa Baba na Mama yake
 
Sasa si angesugua sugua ili friction ilete joto?
 
Leo kichwa yangu imekua ngumu kuelewa. Lakini ni heri akaenda kwa dok anaeza pata msaada.
 
Desidery,

Heri ya mwaka mpya kwako pia,

Moja nianze kwa kusema HAKUNA kitu kama "tendo la uchumba"!

Pili, " Ubaridi" huu unaosemwa hapa je uko wakati wakikutana kimwili tu, au muda wote?Tatu, ninachoshindwa kuelewa ni kuwa kama hili "tatizo" ameliona siku nyingi kwanini kuomba ushauri SASA?
Mategemeo ni yapi hasa kwa wakati kama huu mfano ikiwa ni tatizo itahatarisha uchumba, pengine ndoa itarijiwayo?

Ninadhani, watu hutofautiana, jotoridi la mwili, wakati fulani, hali ya hewa na mazingira huchangia. Ingekuwa vizuri kutambua shida nyingine ya kiafya kama ipo, mfano baadhi ya hali/magonjwa hufanya mwili kuwa wa baridi.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza naomba niwatakie nyote heri ya mwaka mpya..
Tumshukuru sana MUNGU kwa kuuona mwaka huu

Sasa jamani katika likizo hii ya mwisho wa mwaka sikwenda kokote, nilikuwa hapahapa Dar..
ila nilibahatika kutembelewa na ndg na jamaa zangu kiasi cha kutosha ..nashukuru sana..

mmoja kati ya jamaa zangu (Binamu yangu) alikuja na kunitaka ushauri. kwamba afenyeje
maana mchumba wake anayetaka kumuoa maungo yake ni ya baridi. yaani wakati wanashiriki tendo la uchumba, yule dada ni wa baridi kabisa..
kwa kweli kaniomba sana msaada wa kimawazo.. ameshapeleka barua kwao,
anasema wameanza mawasiliano miaka mi3 ilopita, ila tendo wameanza mwaka jana mwezi wa nne..
anasema alishawahi kuwa na dada mwingine wakati yupo Tumaini Unvsty, wakishiriki tendo, dogo alikuwa anaweza kwenda hata round 4-5... lkn kwa huyu akijitahidi ni 2 tu.. yaani bariidiiii.. ingawa anadai mchumba wake hujitahidi kuwajibika kunako 6x6
sasa anajishauri sana..

Naombeni sana busara zenu na ushauri nimshaurije bw. mdogo?
je kuna tiba? au kuna aina za vyakula? na je hili ni tatizo?

Kwangu ni suala gumu kiasi..

ahsanteni

"tendo la uchumba """"hatareeeeeee!!!!!!!
 
Kwanza naomba niwatakie nyote heri ya mwaka mpya..
Tumshukuru sana MUNGU kwa kuuona mwaka huu

Sasa jamani katika likizo hii ya mwisho wa mwaka sikwenda kokote, nilikuwa hapahapa Dar..
ila nilibahatika kutembelewa na ndg na jamaa zangu kiasi cha kutosha ..nashukuru sana..

mmoja kati ya jamaa zangu (Binamu yangu) alikuja na kunitaka ushauri. kwamba afenyeje
maana mchumba wake anayetaka kumuoa maungo yake ni ya baridi. yaani wakati wanashiriki tendo la uchumba, yule dada ni wa baridi kabisa..
kwa kweli kaniomba sana msaada wa kimawazo.. ameshapeleka barua kwao,
anasema wameanza mawasiliano miaka mi3 ilopita, ila tendo wameanza mwaka jana mwezi wa nne..
anasema alishawahi kuwa na dada mwingine wakati yupo Tumaini Unvsty, wakishiriki tendo, dogo alikuwa anaweza kwenda hata round 4-5... lkn kwa huyu akijitahidi ni 2 tu.. yaani bariidiiii.. ingawa anadai mchumba wake hujitahidi kuwajibika kunako 6x6
sasa anajishauri sana..

Naombeni sana busara zenu na ushauri nimshaurije bw. mdogo?
je kuna tiba? au kuna aina za vyakula? na je hili ni tatizo?

Kwangu ni suala gumu kiasi..

ahsanteni
BiDada Aanzekutumia asali safi/asilia asubuhi na jioni kabl ya kulala.... na vinywaji kama Coffee/green tea nk... Hongera na Maisha muruwa.
 
Back
Top Bottom