Unaponda baada ya kupata ajira, huna ndoto zozote acha uongo maana kama ungekuwa nazo ungesha sepa kwani waonekana bado ni kijana wa miaka ya 20'smimi ni mwl nisiyependa ualimu ila mkopo na ajira zimearibu ndoto zangu napiga kisw/ ps
msijari mi mwenzenu nasoma sheria au law au llb nipo mwaka wa pili apa udsm kwaio ni dream come true...so nawatakia mafanikio mema nyie mr.a for apple, b for ball na c for cofee..
mimi ni mwl nisiyependa ualimu ila mkopo na ajira zimearibu ndoto zangu napiga kisw/ ps
Utakua mwalim wa Gs
ukileta usumbufu tutakushughulikia dogo, karibu.usiajali mwalimu mwenzangu mimi mwenyewe nipo hapahapa sina wito na fani hii.....napiga zangu ps na hi..... Naamini mkuu wangu wa kazi tutasumbuana sana........
ukileta usumbufu tutakushughulikia dogo, karibu.
hahaha leo mmekutana mpigamsuli anampa ushauri mwenzake oil sumu
mm sio mwalimu wa Gs mimi ni MKANDALASI HAPA NATAFUTA MTAJI!
Jamani wadau,naombeni kama kuna mtu anajua au ana namba za Mh.RAIS na Mh.Mizengo pinda anitumie plz ni muhimu nahtaji kuongea nao.
kutoka moyoni ualimu si upendi bt pamoja na kuwa naxoma ualimu never sinto kaa nikashika chaki
lecturer! Samahani lakinina kwa mfumo huu mpya walimu tumekuwa ma lecture!..
kutoka moyoni ualimu si upendi bt pamoja na kuwa naxoma ualimu never sinto kaa nikashika chaki