Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Dear all,
hii ni kwa wale wenye mchezo wa kunywa sehemu zenye amani napenda kuwaonya kuweni makini na sehemu hii inaitwa lilian garden bar iko karibu na kwa warioba!!!ukuiiona utaona sehemu ya maana ila mambo ya ajabu yanafanyika pale!!!
nilikuwa nikinywa na marafiki zangu gafla nikaondoka na kuahidi kurudi muda si mrefu ,niliporudi nikakutawameenda kuwadai na kuwalazamisha walipe boss anataka kuondoka na pesa ,,nilipowauliza nikakuta wameambiwa nadaiwa 76,000 tofauti na ukweli halisi!!!akwa mwenzangu amelipa nilipomuuliza muhudumu mbona nilishalipa za mwanzoni akajibu kamuulize boss wangu!!ameshaondoka!!sikuwa na jibu,,nilipomuuliza yule mwanamke alijibu kwa matusi na kusema hizo ndio deni lako!!!nilibishana nao na kuwaonyesha zilizolipwa bahati mbaya mhudumu alikubali na bosi wake sijui alipaata wapi ile bill!!!
kama kawaida nilipouliza nikaambiwa hii ndio tabia ya huyo muhusika na hivyo siku nyingine muwe makini !!lingine nikashauriwa kuna wakati mwingine wanaweza kuwepo wahuni anajifanya amekutumia bia ,baadae unafwata na kuambiwa alieagiza ameondoka naomba bill yangu!!!hivyo kama mnakunywa toa hela waombe risiti utadaiwa na kuacha chupi usipokuwa makini kwa usichokunywa
cheers
hii ni kwa wale wenye mchezo wa kunywa sehemu zenye amani napenda kuwaonya kuweni makini na sehemu hii inaitwa lilian garden bar iko karibu na kwa warioba!!!ukuiiona utaona sehemu ya maana ila mambo ya ajabu yanafanyika pale!!!
nilikuwa nikinywa na marafiki zangu gafla nikaondoka na kuahidi kurudi muda si mrefu ,niliporudi nikakutawameenda kuwadai na kuwalazamisha walipe boss anataka kuondoka na pesa ,,nilipowauliza nikakuta wameambiwa nadaiwa 76,000 tofauti na ukweli halisi!!!akwa mwenzangu amelipa nilipomuuliza muhudumu mbona nilishalipa za mwanzoni akajibu kamuulize boss wangu!!ameshaondoka!!sikuwa na jibu,,nilipomuuliza yule mwanamke alijibu kwa matusi na kusema hizo ndio deni lako!!!nilibishana nao na kuwaonyesha zilizolipwa bahati mbaya mhudumu alikubali na bosi wake sijui alipaata wapi ile bill!!!
kama kawaida nilipouliza nikaambiwa hii ndio tabia ya huyo muhusika na hivyo siku nyingine muwe makini !!lingine nikashauriwa kuna wakati mwingine wanaweza kuwepo wahuni anajifanya amekutumia bia ,baadae unafwata na kuambiwa alieagiza ameondoka naomba bill yangu!!!hivyo kama mnakunywa toa hela waombe risiti utadaiwa na kuacha chupi usipokuwa makini kwa usichokunywa
cheers