Ogopa mke wa mtuu..

Ogopa mke wa mtuu..

Ndugu WAPENDWA NI KWELI KAKA AMEKUTWA NA MASWAHIBA LAKINI TUANGALIE PANDEZOTE MKE MPAKA ANAGAWA NJE KUNATATIZO NDANI NA HUYU NI MUMEWAMTU MPAKA ANATOA NJE KUNA TATIZO NDANI

KWANINI TUSICHUKUE MUDA KUJADILI MATATIZO YA WANANDOA NA JINSI YA KUTATUA HAYA YOTE AYATATOKEA

NAWAKILISHA MWENYE MASWAHIBA NDANI TUELEZEE
 
Kumbe papuchi siku hizi zinaleta alergy! Ok basi sawa ndugu yangu patcho mwamba tajiri
 
Unamuharibu sura mwanamume mwenzio mtoto wa watu sababu ya Papuchi? Not even money? This ridiculous!

Ndio maana inabidi umuachie mtu mke wake,kwani akigundua anaweza kukuharibu sura kwa sababu huwezi jua alipomtoa!
 
Wamevunjamilango dukawasubiri nini
km walimtatua marinda keshakuwa bwabwa
sasa kumuharibu reception ya nini au alizuia bidhaa za dukani
na mke wa mfumua marinda naye hata kibao hakupigwa?
km ulivyosema post #23 hivi vitu ni sisi tunaviendekeza
au HATUTOSHELEZANI NA WENZETU VITANDANI ndio sababu
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaah, sikutegemea kama nitamuona huyu guy akiwa katika mwonekano huu
 
Back
Top Bottom