Ogopa ma senior bachelor


wewe ni MCHOYO!
Hayo yote hayana maana.

Umenitamanisha kinomaaa...
 
acha kwanza nifaidi finyaku.Papuchi tamu mkuu hasa kila siku ukila ya aina tofauti
 
Ngoja nihifadhi hii list kwa matumizi ya baadae.
Asante

BTW...Le Mutuz ni Rais wa Field Marshals
 
Nakuonea tamaa sana kaka
 
Yani dah, nilikua sijacheka this weekend, Kwa jinsi ulivyoparangua hao wakongwe...kuanzia sinia bachela mpaka fidimasho. Msiwaonee wazee wa watu jamani, eti sponsor, wanapendezesha wengi hapa town!...nahawana tabu kugongewa na vijana wa mikoani hahahahah

You made my day.
 
Sponsor na waheshimiwe na wadada wote wa mujini....
 
madem wengi wanakuja hom for one night stand hawamini km nipo single.yn kuanzia stting room,kitchen,toilet,bedroom ni km kwa cr7 getto la ukweli kishenzi.Bila kusahau soft drink kwa friji kusema nawagonga dada zenu teh teh napata sana usumbufu kitaa
Wasiliana na Max ulipie hili tangazo
 
Senior bachelor
 

Hujamalizia ukitaka huduma ya kijinsia..unamaliziaga wapi??
 
Kama upo 55+ na unaona ni kawaida, wewe umebarikiwa. Kwa walio wengi huo ni umri mbaya hasa ikianza barehe ya pili kwa mwanaume
Baadhi yao wamekua wakifanya mambo poa sana pamoja na kua ni mabachelor,kwa mfano Rais Ian Khama .wa Botswana yeye bado ni Bachelor,na kulingana na rank za mdau humu jf nadhani atakua ni Field Marshal kwani yule Bwana atakua na miaka isiyopungua 63 kwa sasa,na juzi hapa taasisi ya UN Economic & social Council imemtangaza kuwa ni rais bora kabisa duniani na wamempa uwezekano wa kuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa kama akitaka(japo sidhani kama rotation ya mabara itamruhusu) ,kwa hiyo mabachelor wamepata role model.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…