Ogopa ma senior bachelor

Hii kitu na Mimi nimeipenda, napenda kuwa alone with no stress.
 
Kwa ufupi ni wabinafsi ndio maana hawataki kuoa...
Ukivunja glass au kikombe utatolewa mimacho...

Labda wale ambao wanaishi na ndugu...
Lakini ukute mtu ana pesa na kila kitu afu anaishi mwenyewe kama mchawi..ni mchoyo bhaas...
 
Uliouanzisha leo na ule wa "Mlioolewa mnawezaje kufanya haya " najaribu kukutafakari nakosa tafakuri sahihi.
 
Your absolutely right
 
U
Kwa ufupi ni wabinafsi ndio maana hawataki kuoa...
Ukivunja glass au kikombe utatolewa mimacho...

Labda wale ambao wanaishi na ndugu...
Lakini ukute mtu ana pesa na kila kitu afu anaishi mwenyewe kama mchawi..ni mchoyo bhaas...
Uchoyo kivipi?
 
You said it all....
 
cc le mutuz
 
Such a lonley life!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…