kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Wadau kwa aneelewa utaratibu sahihi wa kununua kiwanja /shamba lisilopimwa na kwenda kuandikiana Ofisi ya Serikali ya mtaa .
Binafsi nimebaini kuwa SERIKALI za mtaa ambazo ziko chini ya Halmashauri hutoza fedha kwa WANANCHI wanaofika pale kuandikiana kwa gharama ya asilimia 10 ya MAUZO fedha ambayo haitolewi RISITI.
Najiuliza je Kiwango cha asilimia 10 kipo kisheria ? Je kwanini hizo fedha hazitolewi RISITI?
Ile ni Ofisi ya Serikali kwanini watendaji wa SERIKALI wanawatoza fedha WANANCHI na Halmashauri husika haitoi RISITI?
Binafsi nimebaini kuwa SERIKALI za mtaa ambazo ziko chini ya Halmashauri hutoza fedha kwa WANANCHI wanaofika pale kuandikiana kwa gharama ya asilimia 10 ya MAUZO fedha ambayo haitolewi RISITI.
Najiuliza je Kiwango cha asilimia 10 kipo kisheria ? Je kwanini hizo fedha hazitolewi RISITI?
Ile ni Ofisi ya Serikali kwanini watendaji wa SERIKALI wanawatoza fedha WANANCHI na Halmashauri husika haitoi RISITI?