ss wahindi napenda tz mana iko cheap labour, pia pale eneo naitwa labour iko dada moja naitwa fatma ile nahonga kidogo haina ttz yy natoa kibali ya kufanya kazi. Mm nakuja tz since 1990 so iko na biashara mingi pia naingiza wahindi mingi saaaaana jamani mm penda tz ndio mana kila maka nabadilisha majina hoteli hakuna ttz vv taka napewa kibali na tic najua hiyo vv au nakuwaa kali tu[/
Tatizo haya mambo ya kizalendo hayapewi nafasi humu kwenye JF ni chadema na CcM tu Ujinga. Kuna mambo ya msingi tupeane