Sawa mkuu,nipo Dodoma pia!Ofisi za halmashauri ya Jiji la Dodoma zijengwe upya ndani na nje ziwe nzuri mfano wa hii picha. Barabara zake ndani ya fensi ziwe za lami na mazingira yake yawe mazuri.View attachment 2768310
Nadhani anashauri!Unashauri? Unapendekeza? Unatujulisha? Au unafikiria iwe ivyo?