TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Safi sana. Tuwaachie wasafishe miji yetu kwa raha zao. Ukifanya nyooo, unakula mboko za Dijaro Arungu.Watanzania hatuna haja ya kuandamana waandamanaji wapo tiyar.( FFU na JWTZ).
Safi sana. Tuwaachie wasafishe miji yetu kwa raha zao. Ukifanya nyooo, unakula mboko za Dijaro Arungu.Watanzania hatuna haja ya kuandamana waandamanaji wapo tiyar.( FFU na JWTZ).
Acha hasira kwenye mada hii.Elimu elimu elimu,,,,,, bibi yako anavyo visibitisho vyaufisadi uo...... Magufuli kwann asiwafunge yani ww unavithibitisho kuwazidi wao,,, AMKA MTANZANIA NGOJA YAKUKUTE,,,, INSHAHLLAH
Ukitaka wakulinde kaidi tu amri yao.Nawapenda sana hawa jamaa. Cjui kuna utaratibu gani unafuatwa ukitaka wakulinde nyumbani kwako au ukiwa unasafiri na kamzigo ka misimbazi.
Hawa jamaa wanapiga kazi sana na ni watiifu. Ukiwapa maagizo wanatimiza bila kubisha.
Jitetee BC apo juuAcha hasira kwenye mada hii.
Kwa sababu wazungu walimuelewa. Wasingeelewa wangechapwa tu.Nyerere alileta uhuru nchi kwa amani ma maridhiano tu si kwa mtutu
sema tunaye dikteta mmojaNa bado mtanyoooka tuu hu mwaka...tunaye rais mmoja tuu hii nchi
Kinyume cha Dhaifu siyo Dikteta, ni imara, tunaye rais imaraT
sema tunaye dikteta mmoja
Sema Chadema tusirudi Nyuma . Siyo wasirudi nyuma.Chadema viongozi wetu msirudi nyuma mpaka mikutano ya hazara ifanyike kama katiba inavyo sema sio kuogopa police wakati police tuna lalanao mitani haki siku zote hupiganiwa mana manyanyaso yamezidi
Nakumbuka Mbowe aliwahi kusema lazima tuchapne ili tuheshimiane, mbona mnaanza kuogopa? Nendeni tu barabarani.Hii itasababisha watu kuwa waasi ktk taifa lao
UNAliwa jicho ,,,, mi bongo cjui itaamka link yani bafo iko miaka ya 50
Kuna mwaka walikuwa wawil??Na bado mtanyoooka tuu hu mwaka...tunaye rais mmoja tuu hii nchi
Hali ya hatari haitangazwi kwa kutumia jeshi la Polisi, wawalete wajeumani wao , hali ya tahadhari itatangazwa ru.Kama mambo yenyewe ni haya atangaze hali ya hatali
Wanao ogopa barabarani ni police kwani wanakamata si wasubiri mosNakumbuka Mbowe aliwahi kusema lazima tuchapne ili tuheshimiane, mbona mnaanza kuogopa? Nendeni tu barabarani.
Wanajiamini ndiyo maana wameamua kuwapandia huko huko, wachagga mwaka huu mnaloWanao ogopa barabarani ni police kwani wanakamata si wasubiri mos
Lowassa alifikiri kushikana mkono na rais yangeisha.Naona hatari Azam hapa"Lowassa na vigogo wa CHADEMA wakamatwa"
Mungu wangu nakiona kitu kinanyemelea Tz.
Hapo sasa ulinzi utakua na walakini.Ukitaka wakulinde kaidi tu amri yao.