Hakuna kitu km hicho kwanza tambua sisi hatufanyi.vurugu wala hatutaki kuvunja sheria ila we madiba nakuona km mtu wa shari kiasi kwamba unataka tujibu mapigo.tulia muda bado utafik a tu maandslizi ni mhimu kuliko unavyo fikoriWanajiamini ndiyo maana wameamua kuwapandia huko huko, wachagga mwaka huu mnalo
Kuna mtu nilimuambia kuhusu hili...
Kwa hali hii sitoshangaa kuona hilo.
Hali ya hatari haitangazwi kwa kutumia jeshi la Polisi, wawalete wajeumani wao , hali ya tahadhari itatangazwa ru.
Na bado mtanyoooka tuu hu mwaka...tunaye rais mmoja tuu hii nchi
ataweweseka sana mtukufu mana kila mkutano apige chabo kazi ipo mshika mawili moja humponyoka.
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ni DR.JOHN POMBE MAGUFULI hakuna mwingine
Nguvu za kutujengea vile viwanda atapata wapi aisee kama kazi yake fulltime ni kupiga chabo ufipa...
watadhibiti majengo kwa mtutu lakini hawawezi kudhibiti ubongo wao.
Wazungu wakitaka wanaweza kukuoa wewe pamoja na unayemsujudu. Na wanawatuma nduguzo wakushughulikie na majiti kama yule jamaa yenu mliyekuwa mnamtaja wakati wa kampeni.Kwa sababu wazungu walimuelewa. Wasingeelewa wangechapwa tu.