Ofisi za bakita ziko wapi hapa dsm?

Ofisi za bakita ziko wapi hapa dsm?

kipira

Senior Member
Joined
Aug 5, 2009
Posts
142
Reaction score
56
Ndugu naomba kujuzwa mahali zilipo ofisi za Baraza la Kiswahili Tanzania. Ahsante.
 
Mtaa wa Samora, nyuma ya New Africa Hotel, jirani na kituo cha mafuta.

sio huko ulikomuelekeza, ofisi ipo makumbusho barabara inayoingia mabasi kituoni kuna kinjia kinanyosha kama unaenda shule ya msingi makumbusho geti utakaloliona ndio humo.
 
Kuna kibarabara cha vumbi kabla ya barabara inayoingia makumbusho. Kuna kama kijimlima katika eneo la barabara hiyo ukitokea Morocco. Fuata hiyo njia utakutana na Bango la Bakita
 
bakita ipo karibu na shule ya makumbusho kinachotenganisha ni kibustani cha mboga za mchicha pia kuna waosha magari hapo so ukifika shule ya makumbusho bac unaulizia bakita
 
Back
Top Bottom