bless 2011
Member
- Dec 20, 2021
- 19
- 17
Ukitokea wapi?Samahan naomba kuelekezwa head office za ASA MICROFINANCE LTD Kwa Dar ni wap!!? Yaan napanda bus gan na kushuka kituo gan[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka nini?Samahan naomba kuelekezwa head office za ASA MICROFINANCE LTD Kwa Dar ni wap!!? Yaan napanda bus gan na kushuka kituo gan[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
KimeumanaUnataka nini?
Asante sanaASA ipo Kinondoni Makaburini, Sasa wewe sijui unatokea wapi.
nikitokea kimara nichukue usafiri wa route ganiASA ipo Kinondoni Makaburini, Sasa wewe sijui unatokea wapi.
Unaenda kufanyaje?nikitokea kimara nichukue usafiri wa route gani
kupeleka cvUnaenda kufanyaje?
Duh.hawana email ya kutuma kwan mkuu?kupeleka cv
nataka nipajue mkuuDuh.hawana email ya kutuma kwan mkuu?