GE2025 Ofisi ya tume huru ya uchaguzi kuna picha ya mgombea ukutani, sasa hizi kampeni za nini?

GE2025 Ofisi ya tume huru ya uchaguzi kuna picha ya mgombea ukutani, sasa hizi kampeni za nini?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Tukisema matumizi mabaya ya mali za umma ndiyo haya.

Kama ofisini kwa tume huru ya uchaguzi taifa tayari kuna picha ya mgombea urais maana yake rais ajae anafahamika tayari, kama mshamjua kwanini mharibu pesa za kampeni? Si bora mumpitishe yaishe hizo pesa zikafanye kazi nyingine?

Mnalikosea sana neno ''HURU'' mnaita tume huru ya uchaguzi taifa, uhuru wake uko wapi? Ataendelea kukumbukwa Captain Thomas Isdor Sankara ''Who feeds you contorols you''

Soma pia: Mabango yenye matangazo ya vipeperushi vya wagombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu lazima uombe kibali tume huru ya uchaguzi

01...jpeg
 
Tukisema matumizi mabaya ya mali za umma ndiyo haya.

Kama ofisini kwa tume huru ya uchaguzi taifa tayari kuna picha ya mgombea urais maana yake rais ajae anafahamika tayari, kama mshamjua kwanini mharibu pesa za kampeni? Si bora mumpitishe yaishe hizo pesa zikafanye kazi nyingine?

Mnalikosea sana neno ''HURU'' mnaita tume huru ya uchaguzi taifa, uhuru wake uko wapi? Ataendelea kukumbukwa Captain Thomas Isdor Sankara ''Who feeds you contorols you''

Soma pia: Mabango yenye matangazo ya vipeperushi vya wagombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu lazima uombe kibali tume huru ya uchaguzi

View attachment 3454618
Hili ni igizo tu.
 
Tukisema matumizi mabaya ya mali za umma ndiyo haya.

Kama ofisini kwa tume huru ya uchaguzi taifa tayari kuna picha ya mgombea urais maana yake rais ajae anafahamika tayari, kama mshamjua kwanini mharibu pesa za kampeni? Si bora mumpitishe yaishe hizo pesa zikafanye kazi nyingine?

Mnalikosea sana neno ''HURU'' mnaita tume huru ya uchaguzi taifa, uhuru wake uko wapi? Ataendelea kukumbukwa Captain Thomas Isdor Sankara ''Who feeds you contorols you''

Soma pia: Mabango yenye matangazo ya vipeperushi vya wagombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu lazima uombe kibali tume huru ya uchaguzi

View attachment 3454618
Screenshot_20250613-122647~2.png
 
Tukisema matumizi mabaya ya mali za umma ndiyo haya.

Kama ofisini kwa tume huru ya uchaguzi taifa tayari kuna picha ya mgombea urais maana yake rais ajae anafahamika tayari, kama mshamjua kwanini mharibu pesa za kampeni? Si bora mumpitishe yaishe hizo pesa zikafanye kazi nyingine?

Mnalikosea sana neno ''HURU'' mnaita tume huru ya uchaguzi taifa, uhuru wake uko wapi? Ataendelea kukumbukwa Captain Thomas Isdor Sankara ''Who feeds you contorols you''

Soma pia: Mabango yenye matangazo ya vipeperushi vya wagombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu lazima uombe kibali tume huru ya uchaguzi

View attachment 3454618
Yani wewe na akili yako finyu unasahau kuwa Samia bado ni Rais kwa mujibu wa Katiba?
 
Tukisema matumizi mabaya ya mali za umma ndiyo haya.

Kama ofisini kwa tume huru ya uchaguzi taifa tayari kuna picha ya mgombea urais maana yake rais ajae anafahamika tayari, kama mshamjua kwanini mharibu pesa za kampeni? Si bora mumpitishe yaishe hizo pesa zikafanye kazi nyingine?

Mnalikosea sana neno ''HURU'' mnaita tume huru ya uchaguzi taifa, uhuru wake uko wapi? Ataendelea kukumbukwa Captain Thomas Isdor Sankara ''Who feeds you contorols you''

Soma pia: Mabango yenye matangazo ya vipeperushi vya wagombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu lazima uombe kibali tume huru ya uchaguzi

View attachment 3454618
Hiyo ni ofisi ya serikali lazima kuwepo na picha ya Rais aliyeko madarakani. Kwani hujui kuwa Samia bado ni Rais wa JMT?

Basi itafika muda mtasema hata walinzi wa Rais waondolewe kwenye msafara wake. Nyumbu bhana ni shida sana!!
 
Tukisema matumizi mabaya ya mali za umma ndiyo haya.

Kama ofisini kwa tume huru ya uchaguzi taifa tayari kuna picha ya mgombea urais maana yake rais ajae anafahamika tayari, kama mshamjua kwanini mharibu pesa za kampeni? Si bora mumpitishe yaishe hizo pesa zikafanye kazi nyingine?

Mnalikosea sana neno ''HURU'' mnaita tume huru ya uchaguzi taifa, uhuru wake uko wapi? Ataendelea kukumbukwa Captain Thomas Isdor Sankara ''Who feeds you contorols you''

Soma pia: Mabango yenye matangazo ya vipeperushi vya wagombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu lazima uombe kibali tume huru ya uchaguzi

View attachment 3454618
Watakwambia ni ofisi ya umma. Africa kufikia Demokrasia ya kweli bado kweusi sana aisee.

Afu jamaa kampa form huku anatetemeka, yaani anatamani amsaidie kujaza.
 
Back
Top Bottom