Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS) yakiri ajira sekta binafsi zimepungua kwa 42.6%, serikalini zimepungua kwa 78.1% ndani ya mwaka mmoja

Ila Kuna mijitu inavaaga vile viwalo vya kijani na njano havioni Kama Kuna tatizo..
Vimenyofolewa akili, aibu na utu.. vinaruka ruka Kama vibwengo na kupiga mapambio Kama mafisi!
Havielewi kitu!
Punde utasikia mtoa takwimu na taasisi yake anatumika na mabeberu!
Halitakii mema taifa letu
 
NBS Report “Tanzania in Figure 2018”
Agosti 10, 2019

Kwa kifupi.
  • Ajira rasmi zilizotengenezwa na sekta binafsi zimepungua kutoka 239,017 mwaka 2016/2017 hadi kufikia ajira 137,054 mwaka 2017/2018.
  • Pia ajira rasmi zilizotengenezwa na Serikali zilipungua kutoa 82,302 hadi 18,000 ikiwa ni sawa na anguko la asilimia 78.1 katika kipindi hicho cha mwaka mmoja.
Dar es Salaam. Ripoti mpya ya takwimu za Tanzania imeeleza kuwa ajira zinazotengenezwa na sekta binafsi zimepungua kwa asilimia 42.6 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja uliopita, jambo linalotoa changamoto kwa vijana na wadau wa maendeleo kubuni njia mbadala za kuondoa tatizo la ajira nchini.

Ripoti hiyo iliyopewa jina la “Tanzania in Figure 2018” iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Juni 2019, inaonyesha kuwa ajira rasmi zilizotengenezwa na sekta binafsi zimepungua kutoka 239,017 mwaka 2016/2017 hadi kufikia ajira 137,054 mwaka 2017/2018.

Hiyo ni sawa na anguko la asimilia 42.6 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja katika sekta hiyo inayotegemewa kuajiri watu wengi nchini.

Hali hiyo inaweza kuwa imesababishwa na kupungua kwa shughuli za biashara katika kipindi ambazo zilikuwa zinakabiliwa mazingira yasiyoridhisha kwa wawekezaji ikiwemo urasimu katika upatikanaji wa vibali na utitiri wa kodi na tozo.

Hata hivyo, katika bajeti ya mwaka 2019/2020, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango alisema Serikali imekusudia kuboresha mazingira ya biashara kwa kuondoa kodi na tozo zinazowaumiza wawekezaji.

Pia ajira rasmi zilizotengenezwa na Serikali nazo zilipungua kutoa 82,302 hadi 18,000 ikiwa ni sawa na anguko la asilimia 78.1 katika kipindi hicho cha mwaka mmoja.

View attachment 1179274

My Take: Namba huwa hazidanganyi.
"Quinine, nakuomba uache uchochezi kwa kutafasri vibaya takwimu- ulichoeleza siyo sahihi.


USAHIHI
2018​
2017​
ONGEZEKO
SERIKALI 18,000 82,302 (64,302)
MIRADI YA SERIKALI 397,009 32,147 364,862
SEKTA BINAFSI 137,054 239,017 (101,963)
JUMLA 552,063 453,466 98,597
 
Viongozi wetu wanapopinga takwimu zinazoonesha kushuka kwa uchumi ni kutokana na imani yao kwamba kwavile wanatekeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa miundombinu, basi uchumi ni lazima upande.

Ni kweli kwamba miundombinu ni kichocheo cha ukuaji wa uchumi, lakini wanasahau kwamba athari chanya katika uchumi haiwezi kuonekana sasa ambapo miradi hiyo iko katika hatua za utekelezaji.

Serikali inapasa kuzingatia kuwa inachotekeleza sass ni uwekezaji tu. Haiwezekani kupata mavuno ya uwekezaji wakati uwekezaji bado hajakamilika (lag phase). Matunda ya uwekezaji huu yanaweza kupatikana hapo baadae (exponential phase).

Kwahiyo wanapoambiwa uchumi umeshuka au ajira zimepungua wasikatae kwasababu mitaji yote ya serikali imeelekezwa katika eneo moja tu la ujenzi na sio uzalishaji.

Shughuli za uzalishaji pekee ndizo zinazopelekea ukuaji wa uchumi na ajira. Mathalanie, serikali imewekeza nini katika sekta za uzalishaji kama
1. kilimo, uvuvi na mifugo,
2. Madini na gesi asilia,
3. Utalii,
4. Viwanda na biashara?

ingekuwa vizuri endapo serikali ingekuwa ina-balance uwekezaji katika miundombinu na shughuli za uzalishaji.
 
NBS Report “Tanzania in Figure 2018”
Agosti 10, 2019

Kwa kifupi.
  • Ajira rasmi zilizotengenezwa na sekta binafsi zimepungua kutoka 239,017 mwaka 2016/2017 hadi kufikia ajira 137,054 mwaka 2017/2018.
  • Pia ajira rasmi zilizotengenezwa na Serikali zilipungua kutoa 82,302 hadi 18,000 ikiwa ni sawa na anguko la asilimia 78.1 katika kipindi hicho cha mwaka mmoja.
Dar es Salaam. Ripoti mpya ya takwimu za Tanzania imeeleza kuwa ajira zinazotengenezwa na sekta binafsi zimepungua kwa asilimia 42.6 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja uliopita, jambo linalotoa changamoto kwa vijana na wadau wa maendeleo kubuni njia mbadala za kuondoa tatizo la ajira nchini.

Ripoti hiyo iliyopewa jina la “Tanzania in Figure 2018” iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Juni 2019, inaonyesha kuwa ajira rasmi zilizotengenezwa na sekta binafsi zimepungua kutoka 239,017 mwaka 2016/2017 hadi kufikia ajira 137,054 mwaka 2017/2018.

Hiyo ni sawa na anguko la asimilia 42.6 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja katika sekta hiyo inayotegemewa kuajiri watu wengi nchini.

Hali hiyo inaweza kuwa imesababishwa na kupungua kwa shughuli za biashara katika kipindi ambazo zilikuwa zinakabiliwa mazingira yasiyoridhisha kwa wawekezaji ikiwemo urasimu katika upatikanaji wa vibali na utitiri wa kodi na tozo.

Hata hivyo, katika bajeti ya mwaka 2019/2020, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango alisema Serikali imekusudia kuboresha mazingira ya biashara kwa kuondoa kodi na tozo zinazowaumiza wawekezaji.

Pia ajira rasmi zilizotengenezwa na Serikali nazo zilipungua kutoa 82,302 hadi 18,000 ikiwa ni sawa na anguko la asilimia 78.1 katika kipindi hicho cha mwaka mmoja.

View attachment 1179274

My Take: Namba huwa hazidanganyi.

Nakuunga mkono kaka. namba/ takwimu siku zote huwa hazidanganyi. Yaani unaona haswa trend ya ukuaji/ kupungua kwa ajira. Kwa mfano ,kwa aliyeko zanzibar, anaona kwa uwazi jinsi ya wimbi kubwa la watu wanaohamia kutoka bara kwa miaka mitatu hii. What does that mean? mobility of labour kwa wale waliokuwa wakifanya kazi kwenye makampuni na kwa bahati mbaya wameachishwa kazi/ ili kampuni kupunguza hasara wanatafuta mbadala wa kujikimu kimaisha. Austerity measures kama hizi zina athari kubwa sana na hasa stability ya utawala. tukumbuke kuwa kuna wimbi kubwa ka university graduates wanatemwa na vyuo vikuu na hao ni wachache sana ndo wanafanikiwa kupenya ktk mainstream employment.
 
"Quinine, nakuomba uache uchochezi kwa kutafasri vibaya takwimu- ulichoeleza siyo sahihi.


USAHIHI
2018​
2017​
ONGEZEKO
SERIKALI 18,000 82,302 (64,302)
MIRADI YA SERIKALI 397,009 32,147 364,862
SEKTA BINAFSI 137,054 239,017 (101,963)
JUMLA 552,063 453,466 98,597
(Ongezeko) ina maana ya (-ve upungufu)
 
NBS Report “Tanzania in Figure 2018”
Agosti 10, 2019

Kwa kifupi.
  • Ajira rasmi zilizotengenezwa na sekta binafsi zimepungua kutoka 239,017 mwaka 2016/2017 hadi kufikia ajira 137,054 mwaka 2017/2018.
  • Pia ajira rasmi zilizotengenezwa na Serikali zilipungua kutoa 82,302 hadi 18,000 ikiwa ni sawa na anguko la asilimia 78.1 katika kipindi hicho cha mwaka mmoja.
Dar es Salaam. Ripoti mpya ya takwimu za Tanzania imeeleza kuwa ajira zinazotengenezwa na sekta binafsi zimepungua kwa asilimia 42.6 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja uliopita, jambo linalotoa changamoto kwa vijana na wadau wa maendeleo kubuni njia mbadala za kuondoa tatizo la ajira nchini.

Ripoti hiyo iliyopewa jina la “Tanzania in Figure 2018” iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Juni 2019, inaonyesha kuwa ajira rasmi zilizotengenezwa na sekta binafsi zimepungua kutoka 239,017 mwaka 2016/2017 hadi kufikia ajira 137,054 mwaka 2017/2018.

Hiyo ni sawa na anguko la asimilia 42.6 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja katika sekta hiyo inayotegemewa kuajiri watu wengi nchini.

Hali hiyo inaweza kuwa imesababishwa na kupungua kwa shughuli za biashara katika kipindi ambazo zilikuwa zinakabiliwa mazingira yasiyoridhisha kwa wawekezaji ikiwemo urasimu katika upatikanaji wa vibali na utitiri wa kodi na tozo.

Hata hivyo, katika bajeti ya mwaka 2019/2020, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango alisema Serikali imekusudia kuboresha mazingira ya biashara kwa kuondoa kodi na tozo zinazowaumiza wawekezaji.

Pia ajira rasmi zilizotengenezwa na Serikali nazo zilipungua kutoa 82,302 hadi 18,000 ikiwa ni sawa na anguko la asilimia 78.1 katika kipindi hicho cha mwaka mmoja.

View attachment 1179274

My Take: Namba huwa hazidanganyi.
IMG-20190812-WA0040.jpg

Tuweka takwimu sawa tusidanganye jamii kwa makusudi

Kwa Ujumla Ajira zimeongezeka kutoka ajira 20milioni Mwaka 2014 Hadi ajira 22 milioni.

Ajira zisizo rasmi n nyingine Sana hasa kutokana na miradi mikubwa ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa

N Ukweli kuwa ajira rasmi zimeshuka kwa Upande was serikali na sekta binafsi
 
Serikali yeyote inayoshindwa kutoa ajira kwa vijana wake inapaswa kujiuzuru tu , miaka minne bila ajira hii si tu kwamba ni aibu bali ni janga kubwa sana .

kosa kubwa lililofanyika ni kuiua/ kuibana/ kuidumaza sekta ya watu binafsi. Duniani kote private sector ndiyo engine of economic growth/ creator of employment sasa leo sera za awamu ya tano zimeikandamiza sekta hii. hii ni hatari. huwa ninajiuliza seriakli yetu haina washauri wa uchumi wamsaidie mh rais wetu kubuni fiscal and monetory policies zitakazokuwa na tija kwa nchi yetu?? Balaa jamani. tutarajie vijana wetu wataishi maisha gani, yenye ufukura, tegemezi. Nafikiri ilani ya CCM imefeli tena kama ni maksi CCM wapewe sufuri yenye masiskio. ktk uchaguzi wa 2020 lazima CCM ijitafakri kwa kushindwa kutimiza ilani yao.
 
kosa kubwa lililofanyika ni kuiua/ kuibana/ kuidumaza sekta ya watu binafsi. Duniani kote private sector ndiyo engine of economic growth/ creator of employment sasa leo sera za awamu ya tano zimeikandamiza sekta hii. hii ni hatari. huwa ninajiuliza seriakli yetu haina washauri wa uchumi wamsaidie mh rais wetu kubuni fiscal and monetory policies zitakazokuwa na tija kwa nchi yetu?? Balaa jamani. tutarajie vijana wetu wataishi maisha gani, yenye ufukura, tegemezi. Nafikiri ilani ya CCM imefeli tena kama ni maksi CCM wapewe sufuri yenye masiskio. ktk uchaguzi wa 2020 lazima CCM ijitafakri kwa kushindwa kutimiza ilani yao.
Ndio madhara ya mtu mmoja kudhani ana akili kushinda wote
 
"Quinine, nakuomba uache uchochezi kwa kutafasri vibaya takwimu- ulichoeleza siyo sahihi.


USAHIHI
2018​
2017​
ONGEZEKO
SERIKALI 18,000 82,302 (64,302)
MIRADI YA SERIKALI 397,009 32,147 364,862
SEKTA BINAFSI 137,054 239,017 (101,963)
JUMLA 552,063 453,466 98,597
Ambacho siyo sahihi ni nini, nimenukuu kilichoripotiwa na NBS kuwa ajira sekta binafsi na serikali zimepungua uongo uko wapi.
 
Back
Top Bottom