Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Nimekuwa nikipitia kwenye website ya msajili wa vyama vya siasa hapa nchini,na baada ya kufanya peruzo nimekuta mambo ya ajabu sana sana .
kwanza ni juu ya majina ya viongozi wa vyama vya siasa -ambao kimsingi hawapo kwenye vyeo vyao ila bado msajili anawatambua.
Hili limenistua sana na inawezekana kabisa kuwa kama mambo yanaweza kuwa hivyo kwenye nchi hii basi taifa hili liko kwenye wakati mgumu sana na haswa ikizingatiwa kuwa tunashindwa hata kufanya masuala ya kimsingi.
Kuna kila sababu ya kuliangalia hili kwa umakini mkubwa sana kwani kama ofisi ya msajili ina mtu aliyeajiriwa kwa ajili ya kuangalia website yao na mpaka sasa anawatambua viongozi ambao wengine ni wafu na wengine hawapo kabisa kwenye hivyo vyama ni aibu na huyo mwajiriwa anapaswa kufukuzwa kazi kutokana na kosa la uzembe mkubwa na uliokidhiri.
pitieni kiambatanisho chini.
kwanza ni juu ya majina ya viongozi wa vyama vya siasa -ambao kimsingi hawapo kwenye vyeo vyao ila bado msajili anawatambua.
Hili limenistua sana na inawezekana kabisa kuwa kama mambo yanaweza kuwa hivyo kwenye nchi hii basi taifa hili liko kwenye wakati mgumu sana na haswa ikizingatiwa kuwa tunashindwa hata kufanya masuala ya kimsingi.
Kuna kila sababu ya kuliangalia hili kwa umakini mkubwa sana kwani kama ofisi ya msajili ina mtu aliyeajiriwa kwa ajili ya kuangalia website yao na mpaka sasa anawatambua viongozi ambao wengine ni wafu na wengine hawapo kabisa kwenye hivyo vyama ni aibu na huyo mwajiriwa anapaswa kufukuzwa kazi kutokana na kosa la uzembe mkubwa na uliokidhiri.
pitieni kiambatanisho chini.