Ofisi ya CHADEMA Kata ya Maji ya Chai - Arusha yafungwa...

Ofisi ya CHADEMA Kata ya Maji ya Chai - Arusha yafungwa...

Mandla Jr.

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
3,098
Reaction score
631
Wadau wa JF,

Ofisi ya CHADEMA kata ya Maji ya Chai Arusha hatimaye imefungwa rasmi bila kuwepo taarifa rasmi juu ya hatua hizo kutoka kwa Uongozi wa Wilaya wala Mkoa.

Wamekwenda mbali mpaka kubadili rangi ofisi hiyo iliyokuwa ikitumiwa na CHADEMA.

Cha ajabu pia hata katika kata ya Kikatiti Arusha pia ofisi haifunguliwi na huenda ndio mgomo umeanza taratibu kuelekea kuifunga ofisi hiyo.

Kumekuwepo na malalamiko ya muda mrefu sasa kutoka kwa watendaji wa ngazi ya kata wa CHADEMA juu ya kutokuthaminiwa na viongozi wao wa Wilaya, Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Chadema hili si la kulipuuza bure,,, linahitaji kufanyiwa kazi.

Mandla,
Mjukuu wenu.
 
pengine kugharimia masuala ya kodi imekuwa tatizo, ofisi za mijini ni ngumu sana kuziendesha kutokana na ukubwa wa kodi za majengo
 
pengine kugharimia masuala ya kodi imekuwa tatizo, ofisi za mijini ni ngumu sana kuziendesha kutokana na ukubwa wa kodi za majengo

hili jimbo la nasary ni taabu tupu, hamna maendeleo yoyote mpaka ofisi zinafungwa nasary yuko dar anakula bata tu.arumeru hawana mbunge
 
Na bado hamushtuki hata kidogo kura za CCM zilizopatikana Sombetini? Mkilala kidogo 2015 hamna chenu huo ndio ukweli!

Siyo huko pekee hapa Singida ofisi ya CDM imefungwa miezi minne sasa kila nikienda pale Rwezaura pub naona kufuli kubwa! Huko Iramba ndio hakuna kabisa tangu Dr Kitila aondolewe CDM wamesambaratika kabisa!

Na baado! Mwambie Mbowe sisi hatuna cha kukusaidia kwani ADUI mwombee njaa!
 
Ephata nanyaro ameadimika sana hapa jamvini. Ngoja aje kuweka ufafanuzi mujarab. Ninachojua baada ya CDM kumfukuzilia mbali Mwigamba hivi sasa CDM Arusha iko imara kuliko wakati mwingine wowote!
 
Last edited by a moderator:
habariyamujini Nini Sombetini?? Hata Njonbe mjini CCM ilipata kura. CHADEMA ipo kwenye mioyo ya watanzania, ofisi ni kijiwe tu. Huwezi ukafunga ofisi na mioyo vyote kwa pamoja.

Besides, Sombetini ilikuwa ni kata ya CCM
 
Last edited by a moderator:
hili jimbo la nasary ni taabu tupu, hamna maendeleo yoyote mpaka ofisi zinafungwa nasary yuko dar anakula bata tu.arumeru hawana mbunge

Nani alikwambia kuna mahusiano kati ya maendeleo na kuwepo kwa ofisi za chama?

Nani alikwambia Job description ya Mbunge ni kuhakikisha ofisi za chama hazifungwi?

Ni wapi Nassary amekosea kwa kuwepo kwake Dar?

NB: Wakati wewe unapiga porojo hapa jf, wakazi wa Arumeru sasa wanakunywa maji safi na salama ambayo hawakuwahi kuyaona tangu kuumbwa kwa ulimwengu... Li ccm lilishindwa kuwapelekea Nassary ndiye kawaokoa
 
pengine kugharimia masuala ya kodi imekuwa tatizo, ofisi za mijini ni ngumu sana kuziendesha kutokana na ukubwa wa kodi za majengo

Kwakuwa umeanza na neno 'pengine' at least nakuona hujui pa kushika
 
Na bado hamushtuki hata kidogo kura za CCM zilizopatikana Sombetini? Mkilala kidogo 2015 hamna chenu huo ndio ukweli!

Siyo huko pekee hapa Singida ofisi ya CDM imefungwa miezi minne sasa kila nikienda pale Rwezaura pub naona kufuli kubwa! Huko Iramba ndio hakuna kabisa tangu Dr Kitila aondolewe CDM wamesambaratika kabisa!

Na baado! Mwambie Mbowe sisi hatuna cha kukusaidia kwani ADUI mwombee njaa!

Wewe kweli mtambo, kwani aliyekuwa anatetea kata ile ni nani!?? Afu yule mwenyekiti mlomnunua mkamuahidi gari tar. 12 mmeshampa hilo gari. Yule jamaa amefungiwa duniani na mbinguni.
 
Mbunge hana uwezo wa kupeleka maji kwa wananchi ww sema serikali imesikia kilio cha mbunge na kupeleka maji kwa niaba ya wananchi. Unajua miradi hiyo ya maji imeghatimu bei gani? Je muulize mbunge wsko kama fedha hizo anazo au aluwahi kuota kuzipata. Acha ushabiki bila tafakuri mzee
 
Wadau wa JF,

Ofisi ya CHADEMA kata ya Maji ya Chai Arusha hatimaye imefungwa rasmi bila kuwepo taarifa rasmi juu ya hatua hizo kutoka kwa Uongozi wa Wilaya wala Mkoa.

Wamekwenda mbali mpaka kubadili rangi ofisi hiyo iliyokuwa ikitumiwa na CHADEMA.

Cha ajabu pia hata katika kata ya Kikatiti Arusha pia ofisi haifunguliwi na huenda ndio mgomo umeanza taratibu kuelekea kuifunga ofisi hiyo.

Kumekuwepo na malalamiko ya muda mrefu sasa kutoka kwa watendaji wa ngazi ya kata wa CHADEMA juu ya kutokuthaminiwa na viongozi wao wa Wilaya, Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Chadema hili si la kulipuuza bure,,, linahitaji kufanyiwa kazi.

Mandla,
Mjukuu wenu.

mkuu hii ofisi naitambua muda mrefu ni kweli haifunguliwi na hii si kutokana na masuala ya fedha ila viongozi wake hawapigi suti na kukaa ofisini bali wanawatumikia wananchi zaidi.mbona ofisi ya ccm kata ya leguruki hajawahi kufunguliwa
 
hili jimbo la nasary ni taabu tupu, hamna maendeleo yoyote mpaka ofisi zinafungwa nasary yuko dar anakula bata tu.arumeru hawana mbunge

Nassari yupi huyo unaemuongelea.?nassari mda wote amekuwa na ziara kila kukicha jimboni hapa,kiufupi maendeleo ni mengi sana arumeru mashariki katika muda huu mfupi nassari akiwa uongozini
 
hili jimbo la nasary ni taabu tupu, hamna maendeleo yoyote mpaka ofisi zinafungwa nasary yuko dar anakula bata tu.arumeru hawana mbunge
Hacheni uongo mimi nipo usa river Arusha
nassari ni mbunge anayekaa jimboni kwake muda mrefu.Huwa tunapiga naye story mara nyingi ni mtu wa watu.Uliza wana Arumeru siyo unalopoka
 
hili jimbo la nasary ni taabu tupu, hamna maendeleo yoyote mpaka ofisi zinafungwa nasary yuko dar anakula bata tu.arumeru hawana mbunge

We zumbukuku ficha upumbavu wako,mpaka juzi Nassary alikuwa jimboni kwake akisaidiana na wananchi kulekebisha barabara na baadae aliendesha kampeni ya kupanda miti jimboni kwake hii si kwamba nimesimuliwa bali nimemshuhudia mwenyewe ktk taarifa ya habari itv

Ni vema jambo kama hulijui usiliseme na kupotosha watu. Ktk wabunge wanaokaa jimboni kwao na kushiriki kazi mbali mbali na wananchi wao Nassary ni number one mimi binafsi nawaonea wivu watu wa jimbo hilo halafu kimbulukutu ka wewe unakuja kupotosha watu hapa.......!!。。,Sen..zi
 
Hacheni uongo mimi nipo usa river Arusha
nassari ni mbunge anayekaa jimboni kwake muda mrefu.Huwa tunapiga naye story mara nyingi ni mtu wa watu.Uliza wana Arumeru siyo unalopoka

mkuu unafanya uchambuzi gani tena hapa sisi tunamzungumzia mjadala wa ofisi kufungwa kwamba maendeleo yatakujaje, wewe unasema unapiga naye stori hayo ni maendeleo kaka unatuabisha wapambanaji elewa maudhui ya mada usikurupuke
 
hili jimbo la nasary ni taabu tupu, hamna maendeleo yoyote mpaka ofisi zinafungwa nasary yuko dar anakula bata tu.arumeru hawana mbunge

jimbo lipi lenye maendeleo???? kwa hapa mwanza ni majimbo yanayoongozwa na cdm tu ndiyo yenya maji ya uhakika,huku yale ya magamba kama kwimba,magu na misungwi wananchi wanatumia tope badala maji licha ya ziwa kuwa pua na mdomo!!!!!! ulaaniwe wewe na magamba wenzio!
 
Back
Top Bottom