Obama hawezi kutawala kipindi cha pili kwakua tu ana asili ya Afrika,wazungu wenye ubaguzi wa rangi iliwauma sana kuona mtu mweusi anakua Rais wa Marekani,walimvumilia wakiamini kwamba uchaguzi ukifanyika watampiga chini badala yake wamegundua jamaa anazidi kupeta,watamuua wakati wowote,hawafai kabisa.