The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Kutokana na mambo kadha wa kadha kufanywa na ofisi hii ikiwemo ukaguzi wa hesabu za serikali bila kuwepo udhibiti wa wizi kwenye ofisi zetu za umma, basi nilikuwa naonelea kufutwa kwa majukumu ya CAG na kuondolewa mara moja kitengo hicho serikali.
Sababu kubwa ni kuwa ofisi hii imekuwa kama inatuambia Watanzania tunaibiwa ila hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi ya wahalifu hawa.
Mathalani wakati wa uwasilishaji wa ripoti ya CAG hivi karibuni jeshi la zimamoto lilishiriki kupitishia fedha ambazo si za umma kwenye akaunti zake hivyo kuleta taswira ya uhalifu wenye sura wa kutakatisha fedha.
Licha ya taarifa zote za uhalifu na ubadirifu huu mpaka sasa hakuna mtu hata mmoja aliyekamatwa mbali ya baadhi yao kutajwa mpaka majina ama vyeo vyao akiwemo Mhasibu wa jeshi la zimamoto, afisa maduhuli wa TANAPA, wizara ya mali asili na utalii, Clouds Media, TBC, wasafi media n.k. na wote wamepokea fedha haramu. Nchi ya kipumbavu sana hii.
Sababu kubwa ni kuwa ofisi hii imekuwa kama inatuambia Watanzania tunaibiwa ila hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi ya wahalifu hawa.
Mathalani wakati wa uwasilishaji wa ripoti ya CAG hivi karibuni jeshi la zimamoto lilishiriki kupitishia fedha ambazo si za umma kwenye akaunti zake hivyo kuleta taswira ya uhalifu wenye sura wa kutakatisha fedha.
Licha ya taarifa zote za uhalifu na ubadirifu huu mpaka sasa hakuna mtu hata mmoja aliyekamatwa mbali ya baadhi yao kutajwa mpaka majina ama vyeo vyao akiwemo Mhasibu wa jeshi la zimamoto, afisa maduhuli wa TANAPA, wizara ya mali asili na utalii, Clouds Media, TBC, wasafi media n.k. na wote wamepokea fedha haramu. Nchi ya kipumbavu sana hii.