chamba matwe
Senior Member
- Jan 12, 2015
- 168
- 30
Hata akilala kwenye nyumba hiyo akalipwa na posho. nani wa kuhoji?Hata DSM kuna ofisi zake ataamua akae wapi,ulinzi upo ana tabu gani,hata akimuacha house girl peke yake.Bunge likianza anakuja Dom,bongo mambo yote akafanye nn Dom?