Hi wana jf.
Ofisi inafanya kazi,uwezo wa kuingiza pesa inao,inatakiwa kuhamishwa na kufanyiwa marekebisho zaidi.
Timu ni ndogo (watu 2 tu) kulinganisha na uwezo wa ofisi.
Tunahitaji mtu mmoja mwenye mtaji usiopungua milion moja awe mmiliki wa 3.
Iko dar,magomeni mwembechai.
Kazi ni nyingi watu wachache.
Aliyekuwa tayari:
sIFA:
1.Awe na elements za ujasiliamali.
2.Mbunifu na mweny kijituma
3.Awe mtanzania mkoa wowote
4.Umri from 25 to 45.
5.Awe na mtaji usopungua milion moja.
Aliyekuwa tayari awasilane na mkurugenzi kwa namba:
+255713-810857.
Maombi ya kila mtu yanapokelewa wote mnakaribishwa.